Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,022
- 144,379
Ukweli ni kwamba,unapodhibiti mifumo yote halali ya watu kudai haki zao na kupaza sauti,watu hao hubakiwa na option moja tu ya kutumia mbinu na njia mbadala bila kujali uhalali wa njia wanazotumia bali hujali zaidi matokeo ya mbinu na njia hizo.
Na ni katika mazingira haya,ndio hata Mungu huweza kubariki njia zisizo halali.
Sometimes kukata tawi uliokalia sio lazima uwe juu ya mti, bali unaweza kuwa katika kiti cha kuzunguka ukadhani unazunguka kumbe unabiringita.
Na ni katika mazingira haya,ndio hata Mungu huweza kubariki njia zisizo halali.
Sometimes kukata tawi uliokalia sio lazima uwe juu ya mti, bali unaweza kuwa katika kiti cha kuzunguka ukadhani unazunguka kumbe unabiringita.