Unapoamua kutumia hadi tone la mwisho

Unapoamua kutumia hadi tone la mwisho

Joined
Aug 12, 2011
Posts
7,150
Reaction score
14,724
colgate.jpg
 
mbona kawaida huwa inabaki baki nyingi tu ukichana inasaidia
 
watu kwa kujipiga picha hamjambo
 
enzi za chuo izo, hukumbuki kama kolgate imeisha mpaka unapoamka ndo unakumbuka na asubuhi maduka yamefungwa
 
alafu ukifanya hivyo haiishagi unashangaa kesho yake unaendelea tena
 
ndio maana tube nyingi za dawa za kuswakia ziko nusu
 
Back
Top Bottom