Unapishana na mkeo bafuni guest house unaanzaje???

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,906
22,052
Angalizo;maneno yyenye msaada
wanandugu ni wakati mzuri wa kujiandaa na maafa badala ya kuanza kukimbilia ma jaketi na mengineyo wakati watu wanakwisha

incase umefika lodge ukaenda kuoga mara unatoka unakuta mkeo anatoka bafuni nae ana taulo kuelekea chumba cha jirani naomba msaada step za kuchukua ili tuwendelee kupendana na kusameheana kwa hili

nawakilisha
 
Angalizo;maneno yyenye msaada
wanandugu ni wakati mzuri wa kujiandaa na maafa badala ya kuanza kukimbilia ma jaketi na mengineyo wakati watu wanakwisha

incase umefika lodge ukaenda kuoga mara unatoka unakuta mkeo anatoka bafuni nae ana taulo kuelekea chumba cha jirani naomba msaada step za kuchukua ili tuwendelee kupendana na kusameheana kwa hili

nawakilisha

Duh! Hii mtu unaweza ukafa kifo cha ghafla aisee! Eniwei, nadhani kama wote mmeshafikia hatua hiyo ama mmoja wenu ndio kafikia hatua hiyo basi tena, hakuna penzi wala heshima hapo! Hatua za kuchukua ni kwenda ku-file petition ya dissolution of marriage ile mje kuwa huru zaidi na kila mtu afanye apendacho kwa uhuru wake bila kufungwa na dhamiri. Hakuna haja kabisa ya ku-react violently or hysterically.

Kusema eti mtasameheana na kuendelea kupendana mtakuwa mnayeyushana tu kwa maoni yangu. Mngekuwa mnapendana msingefanyiana hivyo. Kama mngeamua kufanya hivyo mngeambiana kwani siku hizi kuna mambo hadi ya open relationshiop - kwamba unamega na kumegwa nje na mwenzako anajua na hakuna cha green eyed monster wala nini.
 
Huo mtihani, lakini ni bora kuwa mpole na kutulia ili muyamalize kiutu uzima bila jazba. Lakini nawe huko lodge unatafuta nini hadi yote hayo yakakukuta
 
huo mtihani, lakini ni bora kuwa mpole na kutulia ili muyamalize kiutu uzima bila jazba. Lakini nawe huko lodge unatafuta nini hadi yote hayo yakakukuta

mwosha uoshwa
 
Angalizo;maneno yyenye msaada
wanandugu ni wakati mzuri wa kujiandaa na maafa badala ya kuanza kukimbilia ma jaketi na mengineyo wakati watu wanakwisha

incase umefika lodge ukaenda kuoga mara unatoka unakuta mkeo anatoka bafuni nae ana taulo kuelekea chumba cha jirani naomba msaada step za kuchukua ili tuwendelee kupendana na kusameheana kwa hili

nawakilisha

haijanitokea... kuisoma tu nahisi damu inachemka mishipani...!!
 
Hapa kila mmoja itabidi amjibu mwenzie kulikoni ingawa nyie wanaume kwa hali kama hiyo kosa kubwa litaonekana kwa mwanamke :twitch:
 
Mapenzi kwisha! Muhimu ni kila mtu na njia yake! Ukiuliza wewe umefata nini huku, utajibiwa hv, Na wewe umefata nini huku!:closed_2:
 
Angalizo;maneno yyenye msaada
wanandugu ni wakati mzuri wa kujiandaa na maafa badala ya kuanza kukimbilia ma jaketi na mengineyo wakati watu wanakwisha

incase umefika lodge ukaenda kuoga mara unatoka unakuta mkeo anatoka bafuni nae ana taulo kuelekea chumba cha jirani naomba msaada step za kuchukua ili tuwendelee kupendana na kusameheana kwa hili

nawakilisha

Kwa wazee wa infidelity kama sisi Ni Marufuku:
1. Kwenda gesti ambazo si self contained
2. Kukutana na mkeo kwenye nyumba za uasherati
3.Kuingia gesti kwa mlango wa mbele
4.Kufungua mlango wa chumba cha gesti kabla hujachungulia kwenye tundu la funguo (huku ukisikiliza foot steps)
5. Kuangalia nyuma au pembeni mara unapotoka kwenye lango wa chumba cha gesti
6. Kuongozana na mtenda dhambi mwenzio (mwanamke anawahi kuingia na mwanaume anawahi kutoka)

Ukizingatia yote hayo, kama wewe ni mzee wa infidelity, na mkeo naye akawa mama wa infidelity..... Haitakaa itokee mkafumaniana gesti. ASILANI:lie::lie:
 
  1. Kwa utulivu kila mtu akavae nguo
  2. Kisha mtachukua usafiri wa pamoja wa kwenda nyumbani
  3. Mkifika nyumbani inabidi kutafakari kwa pamoja mustakabali wa ndoa

Naomba kuwasilisha
 
Hapa kila mmoja itabidi amjibu mwenzie kulikoni ingawa nyie wanaume kwa hali kama hiyo kosa kubwa litaonekana kwa mwanamke :twitch:

Mimi mke wangu hawezi kunituhumu uzinzi kama hajanikuta storingo ikiwa ndani ya mtambo. Hata akinikuta nimelala gesti na mwanamke ntamjengea hoja mpaka atakubali.

Lakini yeye nikimkuta uchochoroni kasimama na mwanaume (hata kama ni baba, au kaka yake). Anahukumiwa on the spot kuwa yeye ni MZINZI aliyekubuhu tena MWASHERATI!!!!!
 
Kwa wazee wa infidelity kama sisi Ni Marufuku:
1. Kwenda gesti ambazo si self contained
2. Kukutana na mkeo kwenye nyumba za uasherati
3.Kuingia gesti kwa mlango wa mbele
4.Kufungua mlango wa chumba cha gesti kabla hujachungulia kwenye tundu la funguo (huku ukisikiliza foot steps)
5. Kuangalia nyuma au pembeni mara unapotoka kwenye lango wa chumba cha gesti
6. Kuongozana na mtenda dhambi mwenzio (mwanamke anawahi kuingia na mwanaume anawahi kutoka)

Ukizingatia yote hayo, kama wewe ni mzee wa infidelity, na mkeo naye akawa mama wa infidelity..... Haitakaa itokee mkafumaniana gesti. ASILANI:lie::lie:

Mzee nimekukubali...!!! Ila jamani kuna jamaa mmoja aligongana guest house na mama mkwe wake!
 
Kwa wazee wa infidelity kama sisi Ni Marufuku:
1. Kwenda gesti ambazo si self contained
2. Kukutana na mkeo kwenye nyumba za uasherati
3.Kuingia gesti kwa mlango wa mbele
4.Kufungua mlango wa chumba cha gesti kabla hujachungulia kwenye tundu la funguo (huku ukisikiliza foot steps)
5. Kuangalia nyuma au pembeni mara unapotoka kwenye lango wa chumba cha gesti
6. Kuongozana na mtenda dhambi mwenzio (mwanamke anawahi kuingia na mwanaume anawahi kutoka)

Ukizingatia yote hayo, kama wewe ni mzee wa infidelity, na mkeo naye akawa mama wa infidelity..... Haitakaa itokee mkafumaniana gesti. ASILANI:lie::lie:

chrispin,
Nimekubali
 
Kwa wazee wa infidelity kama sisi Ni Marufuku:
1. Kwenda gesti ambazo si self contained
2. Kukutana na mkeo kwenye nyumba za uasherati
3.Kuingia gesti kwa mlango wa mbele
4.Kufungua mlango wa chumba cha gesti kabla hujachungulia kwenye tundu la funguo (huku ukisikiliza foot steps)
5. Kuangalia nyuma au pembeni mara unapotoka kwenye lango wa chumba cha gesti
6. Kuongozana na mtenda dhambi mwenzio (mwanamke anawahi kuingia na mwanaume anawahi kutoka)

Ukizingatia yote hayo, kama wewe ni mzee wa infidelity, na mkeo naye akawa mama wa infidelity..... Haitakaa itokee mkafumaniana gesti. ASILANI:lie::lie:

Mzee nimekukubali...!!! Ila jamani kuna jamaa mmoja aligongana guest house na mama mkwe wake!

chrispin,
Nimekubali

Ahsanteni sasa wanachama hai wenzangu........:roll:
 
Mzee nimekukubali...!!! Ila jamani kuna jamaa mmoja aligongana guest house na mama mkwe wake!

Hilo nalo linahitaji thread. Lakini ukiangalia kwa dhati hiyo ni bonge la sekyurite. Manake hata wife akikufumania akaenda kushtaki kwa mama yake mzee una uhakika wa kushinda kesi!!!
 
Nimetoka mswaki, kavaluu kachupa kamoja kwa kukata kiu. Turudi kwenye mada, ukikutana na mmeo gesti utafanyaje?

nampa talaka! au ajabu mwanamke kutoa talaka? maana mpaka sasa nahisi tu naibiwa cjakutana na hata mwizi mmoja walau nifahamu wakoje, wanatofauti gani na mm!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom