Ennie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 7,137
- 4,122
<br />gizani utakula konokono bure. . . !
<br /
Kama mzee Tola vile.
<br />gizani utakula konokono bure. . . !
Natwanga kotekote, gizani mpaka mwangani, Kwa ishu ya mgao wa umeme unaweza anzia mwangani ukajikuta unamalizia gizani.
<br /><font color="#a52a2a"><font size="4"><b><span style="font-family: century gothic">Habari wakuu wa jamvi,</span></b></font></font><br />
<font color="#a52a2a"><font size="4"><b><span style="font-family: century gothic">Jamani hivi watu wametofautiana sana,unajua kwanini nasema hivyo?utakuta kuna mtu yeye anapenda kulia gizani,yaani giza totoro ndio furaha yake,mwingine yeye anataka angalau candle light,mwingine anataka ale mchana kweupe!au kama ni usiku basi zitawashwa taa zote aone pilipili ilipo,ndizi,sijui ndimu,salad,avocado,maharage,mchicha si unajua wengine wanapenda mamichicha marefuuuu,wengine michicha wala hawataki ,kama watermelon basi ayabebe ayapapase huku na kule kabla ya kuendelea na maakuli.</span></b></font></font><br />
<font color="#a52a2a"><font size="4"><b><span style="font-family: century gothic">Lakini mimi nacho jua mkono huwa haukosei mdomo ulipo au mdomo si kazi kutafuta mkono wenye chakula ulipo.</span></b></font></font><br />
<font color="#a52a2a"><font size="4"><b><span style="font-family: century gothic">Je wewe wapenda kulia wapi?na kwanini?</span></b></font></font>
<br />Mkuu katavi gizani si unaweza usione meza imekaaje ukajikuta umekula umemaliza kumbe kuna matunda na wewe hukuyaona
<br />haaah haaah basi ukalie kwa Ngeleja.