Hata wewe ni kilaza wahed, hizo uniform ni za askari wa Bongo?Bongo Askari wa kiume hatakiwi kumkagua mwanamke iwapo mwanamke anatakiwa kupekuliwa maungoni na hamna Askari jike basi askari wa kiume anatakiwa amtafute mwanamke yeyote ampekue mwanamke mwenzake,sasa kutokana na wengi kuwa vilaza wa Sheria mtu unaweza fanyiwa hivi asijue kwamba kafanyiwa kosa
Hata wewe ni kilaza wahed, hizo uniform ni za askari wa Bongo?
Angalia vizuri wote hao ni wanawake wanajua wenyewe wanapofichaga vitu vyao
hilo tukio lilitokea Uganda kitambo tu na picha zilikuwa nyingi tu na kuna nyuzi humu ilikuwa na hizo picha labda kama wewe unadhani ni current issue hayaAisee kapime macho yaani huwezi tofautisha mwanamke na mwanaume duh muulize yeyote humu huyo afande ni dume au jike hayo makalio mbona ni ya kiume ya kike yanatumafuta mafuta
hilo tukio lilitokea Uganda kitambo tu na picha zilikuwa nyingi tu na kuna nyuzi humu ilikuwa na hizo picha labda kama wewe unadhani n
i current issue haya
Haya bwana ngoja watu waone kama Mimi au wewe ndo una macho ya ngamiaBadala Mimi nikuhadithie wewe, wewe ndio unajifanya unahadithia Mimi,wewe ulisema anaemsachi huyo manzi ni askari wa kike mimi nikakutalia kila mtu hapa anajua anaemsachi huyo mwanamke ni askari wa kiume lakini we unabisha hayo macho yako sijui ni Ya ngamia wa libya
Hao sio wanaumeKwani kuna luhusa mwanaume kumsachi mwanamke
Haya bwana ngoja watu waone kama Mimi au wewe ndo una macho ya ngamia
![]()
![]()
![]()
![]()
Sibishani tena na wewe kama unataka na website ya hiyo news hii hapa Photos: Uganda police strangely search fans private parts – Nehanda Radio
haya bana ila uachage ubishi kama thomasoUmeshinda kumbe kweli ni mijike lakini ipo kama wanaume
unautani na wakimataifa weweSasa huyo mwenye jezi ya njano si wa jamii hii yetu huyu
Hahaha macho yalinidanganya si unajua macho haya ya uzee mjukuu wangu unajua umri wa miaka 79 si wa mchezo mchezohaya bana ila uachage ubishi kama thomaso
unautani na wakimataifa wewe