You are procedures are mathematically consistent and completely correct indicating that you are a good mathematician. Only that they don't provide a mathematical solution of the problem at hand!
Ila hapo ukiweza kuintegrate e* utakuwa umemaliza hilo swali
Sina uhakika na nilivyosolve ila uelekeo ndio huo huo maana ni kitambo sanaView attachment 1711681
Ila hapo ukiweza kuintegrate e* utakuwa umemaliza hilo swali
Sina uhakika na nilivyosolve ila uelekeo ndio huo huo maana ni kitambo sanaView attachment 1711681
Niliformat kichwa to default setting baada tu ya awamu ya 5 kuanza et tunaambiwa tujiajiri kua vibarua wa fundi ujenzi kwa zege zile zote utapata wapi muda wa kukumbuka hizo integras Mara differential eqns sijui exponents
Sikumbuki kwakweli
Mkuu Makanyaga
Mimi sijaona umuhimu hilo swali lako la calculus kwenye pratical application,
Hebu wakali waje kutupa jibu kwenye practical question kama hili chini hapa
Mkuu Makanyaga
Mimi sijaona umuhimu hilo swali lako la calculus kwenye pratical application,
Hebu wakali waje kutupa jibu kwenye practical question kama hili chini hapa
Sasa hili swali lako si ndiyo application ya swali nililotoa hapo juu? Huwezi ukawa na uwezo wa ku-solve hili uliloweka wewe hapa, bila kujua ku-solve hilo la mwanzo nililoweka mimi. Hata hivyo umeweka idea nzuri sana