Unapata ujumbe gani hapa?

Unapata ujumbe gani hapa?

Indume Yene

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
2,968
Reaction score
727
Wana JF wenzangu,
Jaribu kuangalia hizi picha zilizoko hapa kisha utoe maoni yako nani zaidi ya mwenzake hapa? Tujifikirishe kuwa wote hawana wasifu (CV) kali. Kwa mtazamo huo nani mkali hapa?


1%252BNape%252Bakihutubia%252Bmkutano%252Bwa%252Bhadhara%252Bviwanja%252Bvya%252BUshirika%252BIkungi%252Bnje%252Bya%252Bmji%252Bwa%252BSingida%252Bjana..JPG


DSC04366.jpg


IMG_0681.jpg
 
Naona mwanamama anaongea kwa hisia kali na watu wanamsikiliza kwa makini
 
Duh usije kuwa hii ndiyo campaign Nape aliyosema kwamba wanachama wa Chadema wamerudisha kadi. Duh hisia zangu ni kwamba CCM wamezorota wamekufa na wanaoza sasa. Maana hata jukwaa hawawezi weka maana hakuna hadhira.
 
Wana JF wenzangu,
Jaribu kuangalia hizi picha zilizoko hapa kisha utoe maoni yako nani zaidi ya mwenzake hapa? Tujifikirishe kuwa wote hawana wasifu (CV) kali. Kwa mtazamo huo nani mkali hapa?


1%252BNape%252Bakihutubia%252Bmkutano%252Bwa%252Bhadhara%252Bviwanja%252Bvya%252BUshirika%252BIkungi%252Bnje%252Bya%252Bmji%252Bwa%252BSingida%252Bjana..JPG


DSC04366.jpg


IMG_0681.jpg

Huyo mama anaonekana mkali zaidi maana watu kibao mpaka wasiojiweza wapo walau wapate neno...!
 
Ni kweli anaongea kwa hisia kali. Kwa mtazamo wako nani hapo ni zaidi ya mwingine kulingana na visual iliyoko mbele yako?

Mwanamama ni mkali zaidi kavuta hadhira na benchi lake sio hao wengine!!
 
Wana JF wenzangu,
Jaribu kuangalia hizi picha zilizoko hapa kisha utoe maoni yako nani zaidi ya mwenzake hapa? Tujifikirishe kuwa wote hawana wasifu (CV) kali. Kwa mtazamo huo nani mkali hapa?


1%252BNape%252Bakihutubia%252252Bvya%252BUshirika%252BIkungi%252Bnje%252Bya%252Bmji%252Bwa%252BSingida%252Bjana..JPG


http://1.bp.blogspot.com/-Rs_ow4ZCZaA/TcvBaaFxyWI/AAAAAAAA-dI/oD14M8Uze-Y/s16

[IMG]http://2.bp.blogspot.com/-7krlpV_q6MQ/Tc75YSXM9GI/AAAAAAABlDY/PjLePIA0WUk/s1600/IMG_0681.jpg
"............CCM mmetuchakaza, tunatembea pekupeku hata hela ya yeboyebo hatuna,, Ona akina mama wenzangu waliokaa hapo nyuma, wanasikitika, hata UJI hawajnywa kwajili yenu!"
Ndivyo anavyoonekana kusema mama huyu!
 
Mama hana Jukwaa "ana watu nyuma yake" inatia moyo!

Huyu mama hana CV kali kwenye jamii lakini bado kam-beat Chiligati na Nape. Mind that Chiligati alikuwa kwao Singida na still watu walimbeza.
 
"............CCM mmetuchakaza, tunatembea pekupeku hata hela ya yeboyebo hatuna,, Ona akina mama wenzangu waliokaa hapo nyuma, wanasikitika, hata UJI hawajnywa kwajili yenu!"
Ndivyo anavyoonekana kusema mama huyu!

Ukiangalia nyuma ya huyo mama (far back), utamuona mzee mwenye suti nyeupe akiwa ni handicapped. Lakini huyo baba kahakikisha kuwa anafika kwenye hiyo hadhara iliyoendeshwa na mtu ambaye hana CV kali kwenye jamii. Mmmmh hapo kuna kiashirio.
 
Back
Top Bottom