MasterP.
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 8,158
- 6,572
Yeuropuraya ndio nini?
Yeuropuraya ndio nini?
Hapo pangekuwa marangu watani zangu wazingekuwa na miguu kama fimbo....
wana miguu kama vijiko vilivyochomwekwa kwenye ugali :juggle:
Achana na Marangu weweeee. ....kisiwa cha warembo, japo nikitafakari sana kwy hiyo miguu mhhhh.....kama kweee. .......vile.
Hapo pangekuwa marangu watani zangu wazingekuwa na miguu kama fimbo....
hahaha. ....... Jamani comments zingine muwe mnasubiri weekend ipite.
Nimecheka mpaka bia imenipalia na nyingine imemwagika.
uraya ndio nini?
wana miguu kama vijiko vilivyochomwekwa kwenye ugali :juggle:
Chini wembamba juu wanene na vifua vipana kama wabeba vitu na wana nguvu kama nyati......ndio maana wajanja wanawakimbila kuwaoa kwa ajili ya kuwafanya kama mitambo ya uzalishaji mali....huku wao wakitesa na watoto wazuri wenye sura na haiba za kuvutiaviguu vyembamba akili mingi !!!