Kama ni jobless kila ukikopa vocha ni mawasilianoNdugu zangu,tupeane ushauri hapa, kwa siku unatakiwa kuongea na mpenzi wako mara ngapi ???
Waache siasa ime wachoshaGreat thinker wa jf
Ua la waridi unaongea na mimi marra ngapi bebi, mbona uko kimmya sanaaa😂Ndugu zangu,tupeane ushauri hapa, kwa siku unatakiwa kuongea na mpenzi wako mara ngapi ???
Naongea na wewe kila muda, ila leo si unajua nilikua home kwa mama.Ua la waridi unaongea na mimi marra ngapi bebi, mbona uko kimmya sanaaa😂
Ooooh toto unadeka weyeee🥰Naongea na wewe kila muda, ila leo si unajua nilikua home kwa mama.
Sasa nikamdekee nani kama si wewe 😊☺️Ooooh toto unadeka weyeee🥰
Mnaongea nn kwani mnafanya research ya dawa ya ukimwiNdugu zangu,tupeane ushauri hapa, kwa siku unatakiwa kuongea na mpenzi wako mara ngapi ???
😂😂😂KwambaNi mwaka wa sita sasa
😀😀Mimi mamangu akiwa na ubuyu alaf hana vocha anabeep had simu inazima 😀😀BI mkubwa ndio huwa ananipigia most of the time usipopokea anakasirika kama nywinywinywi🤣
Hatupigiani...we Acha tu, hizi nyumba zinatufichia mengi.😂😂😂Kwamba