Unaoa kabila au mtu?

Unaoa kabila au mtu?

Mmh ni kweli bt kuna makabla c ya kuoa jaman kuna makabla mengne wavivu sana hawapend kufanya kaz badala uoe mke unaoa ukoo mi kwakweli ata kama nimempenda mtu naangalia din kabla na familia mambo ya kusema mapenz hayachagui cjui nin mi cna naamin naeza mpata mtu mwenye vgezo nnavotaka
 
Na hivi vinu vyao mashe wa kichagga nini kinasababisha viwe vile, personal experience (about 7 samples) inanionyesha kuwa unaweza kuweka mikono na kupiga makofi tena viganja vikipeana at least umbali wa sentimita 20!

Mkuu hii nimeshaikuta mara 2 pia ila haimaanishi ni wote wako hivyo.
 
Mademu wa kichanga wengi wao wababe..hawajui mapenzi..sometymz hata wachaga wenzao wanogopa kuwaoa siku hizi...

Mkuu mmachame ndio usioe kaaabisa hata akiwa mzuri kama malaika,
 
Back
Top Bottom