Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
Siku hizi wamezigeuza k kuwa kopo la kutawazia dushe. Kila mwenye kuhitaji anatawazia tu.
Duuu Ngoja waje wajitete Juu ya Hili,.....
Siku hizi wamezigeuza k kuwa kopo la kutawazia dushe. Kila mwenye kuhitaji anatawazia tu.
HahahaaMbona hawatoshi hao??
Fanya uongeze nesi ili awe anaaga kwa mumewe kwamba anaingia nightshift kumbe ww ndo unapanga roaster
UmeonaeeStori kama stori nyingine tu...
Duh na huyu anajiita great thinker ?shame on youKwa kero za ndoa ninazoshuhudia na kuzisikia, nashindwa kuelewa sabb ya mwanaume kuamua kuoa mke ambaye baada ya muda mfupi hugeuka kuwa laana na balaa.
Mtu anaanza kujutia, kunyong'onyea na kusononeka. Hata ndoto zake za kuishi maisha aliyoyatarajia hutoweka kabisa. Kila siku hofu ya kusalitiwa, mizozo na magomvi. Ukioa kipato huanza kuyumba maana unakuwa umeongeza matumizi lkn hujaongeza vyanzo vya kipato.
Mm na-date na wadada sita bila ya wao kujuana wala kugongana hata siku moja.
1. Hotelia
2. Mjasiriamali
3. Mwanafunzi wa diploma
4. Mwanafunzi wa shahada
5. Binti wa jirani
6. Mke wa mtu -mwajiriwa serikalini
Nimekula bata sana na huyu mwajiriwa wa serikali kabla ya sémina kupigwa marufuku na jpm, nilikuwa namfuata kila mkoa alikoenda. Nalala bure, nakula bure na kinanda napiga.
Siku hizi akiimisi kitu yangu anaomba ruhusa kazini kwake kuwa kesho atakuwa na dharura. Nyumbani anamwambia mumewe kuwa kesho atatakiwa aamke mapema sana ili awahi kazini. Hiyo kesho anacruze gari hadi kwangu ili afike kabla majirani hawajaamka. Basi tunafanya yetu mpk muda wa kazi utakapoisha. Huku akigharamia mapochopocho na usafi wa nyumba akifanya.
Hawa wanafunzi nawapishanisha wakati wa likizo zao. Mmoja namwambia sitakuwepo, basi anakula kona huyu mwingine anakuja kwangu kwa wiki kadhaa. Yule aliyekula kona namuomba awahi wiki 2 kabla ya kufungua.
Huyu mjasiriamali anasaidia sana siku ziende hasa nikichacha huku wanafunzi wakiwa vyuoni na mwajiriwa yuko busy.
Hotelia hana faida nyingine kwangu zaidi ya kuonyesha True love na kuwa tayari kutoa penzi bila hata ya kudai nauli.
Binti wa jirani yeye huwa ananisumbua sana pale ambapô wazazi wake wanapokuwa wamesafiri ama wako ktk shughuli za kijamii mfano misiba, harusi, n.k
Kwa mazingira kama haya, ambapo mm nina uhakika wa mbunye kila siku, najiuliza naoa ili iweje ? Kama nikitaka mtoto kati ya hawa sita hakuna atakaye chomoa.
hotelia yupo vizuri sana ktk nyanja zote, shida hana helaMarioo on fleek Ila kuna ka ukweli ndani yke Ila hyo cheni balaa kwani we unampenda yupi kati ya hao6 mana mpaka watu wanaoana ujue wamependana sana tu
Hujaona thinking hapo mkuu ? Kama hujaona tatizo liko kwakoDuh na huyu anajiita great thinker ?shame on you
Mkuu sitaki kugongewa. Bora niendelee kuwa singleUmepotea sana
SijakuelewaHongera..mkuu...ila usisahau ukiona ngoma inalia sana....ujue inakaribia kupaSuka
Kabisa kabisaaaaaUna laana wewe...na unachotafuta utapata
Kati ya watu kumi. Wanne wana virusi vya ukimwi. Jaza ujazwe
Si kweli... Utafiti huo utakuwa na mkono wa wanzinzi wa dunia.Tafiti zinaonyesha walio kwenye ndoa ndiyo wanaongoza kwa maambukizi
Mungu akuuwe wewe kwanza.... Muhuni usiye na maadili.Kati yao hao wanne, watatu wako kwenye ndoa. Oa ufe na ukimwi
Utajua baadaye hasara ya haya unayofanya... Hii dunia sijui inakopelekwa.Umeona ee mkuu !!? Kunishawishi kuoa labda itangazwe adhabu ya kifungo