- Thread starter
- #41
Mkuu niko vizuri na ni mzima kimwili na kiroho. Sipendi unafik ndiyo maana sitaki ndoa. Ndoa huongeza idadi ya wagojnjwa wa akili dunianiNenda KWa Gwajima uombewe mapema kabla hujachizika zaidi ya hapo
Mkuu niko vizuri na ni mzima kimwili na kiroho. Sipendi unafik ndiyo maana sitaki ndoa. Ndoa huongeza idadi ya wagojnjwa wa akili dunianiNenda KWa Gwajima uombewe mapema kabla hujachizika zaidi ya hapo
Kuna watu wako kwenye ndoa lkn wanawaombea wenzi wao kifo ili warejee furaha zaoUtajua baadaye hasara ya haya unayofanya... Hii dunia sijui inakopelekwa.
Ni kweli kila jambo lina mwisho. Lakini sitaki mwisho wa kujitakia i.e kuingia kwenye dudu ndoaKila jambo lina mwanzo na mwisho
Mkùu ingia kwenye tovuti ya TACAIDS utajioneaSi kweli... Utafiti huo utakuwa na mkono wa wanzinzi wa dunia.
Utaelewa....tuu....kwani kazi ya sight mirrow kwenye vyombo vya usafiri ni nini¿Sijakuelewa
Nadhani ndiyo maisha sahihi. Ndoa ni usanii mtupuWenzio tulikuwa tunadate zaidi ya hao wakat ww bado hata hujabalehe
Anakuja mwenyewe nyumbani kwangu. Tena tunaishi mbalimbali sana mkuuMpumbavu unatsimulia upuuzi cc achna na mke wa MTU utaoga tindikali manina
na tigo unamla yupi mkuuhotelia yupo vizuri sana ktk nyanja zote, shida hana hela
Hiyo kufa na kusahaulika ni kwa kila mtu uwe kwenye ndoa ama nje ya ndoa. Tena aliye kwenye ndoa ndiye mwenye kosa kubwa anapochepuka.Mpiga punyeto nae atasema aoe ili iweje?
Mkuu, unaamini kwamba kuna hukumu baada ya kifo? Unaamini ipo siku utakufa? Watu watalia kisha watakusahau na kuendelea na maisha yao?
Je, wajua kuwa waathirika wengi wa ukimwi ni wanandoa ?Je wajua? Kua kila mmoja Kati ya hao sita ana mabwana sita? Ndo mana wengine hawakusumbui hata nauli.
Mbona wachache
Kuoa=kifoNyota ya Rungu[\color] + UKIMWI[\color] = KIFO
Oa ufePanda upandwe