View attachment 3404149Hata kama umepanga nyumba, sio kisingizio cha kushindwa kua na ka-portable garden kako, kwa kutumia chupa za maji Tu, unaweza ukaanzisha bustani yako ya mbogamboga na ukawa hununui mboga
Acha dharau, Kuna watu ni matajiri, waajiriwa wenye kipato kuzuri tu, ila wanaamua kujitengenea bustani zao za mboga mboga kama sehemu ya ziada baada ya kazi zao.
Usiishi Kwa kujisifu eti Kwa kuwa unanunua kila kitu ndiyo una kazi za maana za kufanya.
Muokota makopo ndiyo Hana muda wa ziada wa kutumza hata bustani za mboga mboga.
View attachment 3404149Hata kama umepanga nyumba, sio kisingizio cha kushindwa kua na ka-portable garden kako, kwa kutumia chupa za maji Tu, unaweza ukaanzisha bustani yako ya mbogamboga na ukawa hununui mboga
View attachment 3404149Hata kama umepanga nyumba, sio kisingizio cha kushindwa kua na ka-portable garden kako, kwa kutumia chupa za maji Tu, unaweza ukaanzisha bustani yako ya mbogamboga na ukawa hununui mboga
Hao wa five stars bima zao siyo kama hizi ambazo zipo huku,nacwengine hatuna boma za afya kabisa,tahadhari ni muhimu sana,lazima tuishi kwa hofu,maana vile tunavyoweza kuviepuka tusipoviepuka au kuonyesha juhudi za kuviepuka,tukipata madhara,TUNAKUFA kirahisi sana.