kashata
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 529
- 536
umeeongea point leo big up
Kama ni utupu hata mimi si nimeona wa kwako....ngoma droo! kauli kama hizi za kujilegeza ndo zinazowapa kichwa wanaume na kuona kweli wanawake ndo huumia kama mkibreak mapema......