Black poison The Factor
JF-Expert Member
- May 31, 2020
- 854
- 1,260
Hope mko poa kabisa wakubwa.
Nina kisa changu kinachohusu mapenzi, na kuyasotea.
Kati ya waliowahi kusotea pis basi namm nipo,, ila nilitoka kapa tena kapa ya gamba.
Kipindi tupo sec kuna demu tulikua tunasoma nae anaitwa adija. kiukweli nilitokea kumpenda vibaya mno.
nilisotea kidogo niwe mwehu
ila mpaka tunamaliza shule sikuwahi hata kumshika mkono wake tu,, niliongea mpaka maneno yakaisha ila sikulamba unga.
Story ni ndefu ila ngoja kawe kafupi tu,, mpaka nikiwa kitaa bado sikuacha kumuwaza kabisa, ila yule mtu misimamo wake ulikua uleule, kwamba hanitaki hata iweje.
Baadae sana nikaamua kumove on ili maisha mengine yaendelee. Mbaya zaidi kuna watu walikua wanapita nae kama upepo vile,, tena anawafuata yeye mwenyewe .
nikabaki na somo kwamba anayekupenda hawezi kukusotesha miaka yote hiyo,, na tena kilikua king'ang'anizi changu tu pengine ningeamua kumtema mapema yote hayo yasingekuepo.
Kuna muda nilifikiria nimchukie ila nikaona hana kosa, nilimpenda mimi hakuniita so bado ningeuka fala kama ningemchukia.
Tangu hapo sisoteagi mademu tena, natongoza siku tatu za nguvu asipoeleweka namtema mapema kabisa,,.
Mtu akikuelewa atakujibu mapema tu.. ila wale ambao bado mnatongozaga mwaka mzima hongera kwenu.
Ukiforce demu akuelewe maybe kwa kumpa pesa kibao na mengineyo hapo elewa kabisa mud wowote ule utapigwa na kitu kizito.
Mademu wengine anaweza kuact amekupenda baada ya kuhangaika muda mrefu, inabidi akupe penzi la uongo na kweli ili afidie alizokula kwako, siku akiona malipo yamekamilika anasepa zake. ukiwa mwehu utaanza kuhaha ulipe kisasi,, bro endelea na mambo mengine visasi ni majuto na ni ujinga, kwani alikuita ukampende? Jibu ni hapana, kwann sasa uingie kwenye ugomvi wa kijinga..
Ukiona haeleweki tafta chuma kingine.
Penzi la kweli halitafutwi kwa miaka mingi.
Nina kisa changu kinachohusu mapenzi, na kuyasotea.
Kati ya waliowahi kusotea pis basi namm nipo,, ila nilitoka kapa tena kapa ya gamba.
Kipindi tupo sec kuna demu tulikua tunasoma nae anaitwa adija. kiukweli nilitokea kumpenda vibaya mno.
nilisotea kidogo niwe mwehu
ila mpaka tunamaliza shule sikuwahi hata kumshika mkono wake tu,, niliongea mpaka maneno yakaisha ila sikulamba unga.
Story ni ndefu ila ngoja kawe kafupi tu,, mpaka nikiwa kitaa bado sikuacha kumuwaza kabisa, ila yule mtu misimamo wake ulikua uleule, kwamba hanitaki hata iweje.
Baadae sana nikaamua kumove on ili maisha mengine yaendelee. Mbaya zaidi kuna watu walikua wanapita nae kama upepo vile,, tena anawafuata yeye mwenyewe .
nikabaki na somo kwamba anayekupenda hawezi kukusotesha miaka yote hiyo,, na tena kilikua king'ang'anizi changu tu pengine ningeamua kumtema mapema yote hayo yasingekuepo.
Kuna muda nilifikiria nimchukie ila nikaona hana kosa, nilimpenda mimi hakuniita so bado ningeuka fala kama ningemchukia.
Tangu hapo sisoteagi mademu tena, natongoza siku tatu za nguvu asipoeleweka namtema mapema kabisa,,.
Mtu akikuelewa atakujibu mapema tu.. ila wale ambao bado mnatongozaga mwaka mzima hongera kwenu.
Ukiforce demu akuelewe maybe kwa kumpa pesa kibao na mengineyo hapo elewa kabisa mud wowote ule utapigwa na kitu kizito.
Mademu wengine anaweza kuact amekupenda baada ya kuhangaika muda mrefu, inabidi akupe penzi la uongo na kweli ili afidie alizokula kwako, siku akiona malipo yamekamilika anasepa zake. ukiwa mwehu utaanza kuhaha ulipe kisasi,, bro endelea na mambo mengine visasi ni majuto na ni ujinga, kwani alikuita ukampende? Jibu ni hapana, kwann sasa uingie kwenye ugomvi wa kijinga..
Ukiona haeleweki tafta chuma kingine.
Penzi la kweli halitafutwi kwa miaka mingi.