Deaf Milionaire
JF-Expert Member
- Apr 21, 2019
- 426
- 496
Mabaharia tunaotongoza Leo na kupewa leo, tunakushangaa Sana menzetu
Hili la Equation x,Kwa sisi tusiopenda maigizo...tunaamini wa namna hiyo amenipenda/amenikubali jinsi nilivyo;kuliko wale wanaopiga kalenda kwa upande wangu huwa nachukulia kama ninamlazimisha kuwa na mimi wakati hajanikubali.
HahahahHuyo ni MALAYA MFAWIDHI.
Anakua na roho nzuri na hataki kutesa binadamu mwenzake
kwangu mimi ni vizuri si kanipa mwenyewe na jenga na mzingaEt! Wana jukwaaa wenzangu, we unamchukuliaje mdada umekutana nae tu sehemu mara ghafla ukampenda na kuamua kumtongoza,na akakukubalia.
Then kesho yake akaamua kukutunuku kila unacho kihitaji kutoka kwake!
Wewe kama mwana jukwaa huru utamchukuliaje msichana wa dizaini hiyo?
Umenena haswa ukweli mtupu mkuuKwa sisi tusiopenda maigizo...tunaamini wa namna hiyo amenipenda/amenikubali jinsi nilivyo;kuliko wale wanaopiga kalenda kwa upande wangu huwa nachukulia kama ninamlazimisha kuwa na mimi wakati hajanikubali.
Kuomba lazima uombe ila wengi hutegemea kupokea jibu la hapana but, yeye anakwambia haina shida ni ww tuSiamin kama anaweza kukupa bila wew kuomba
Any way wadada nao binadamu
Kama kesi basi na wew usiombe
Na akikupa usidumbukize kojoleo lakk
Tatizo likwapi sasa mbona unalia?Umemuomba akaamua kukupa kiroho safi tu mkuu
Kwanini utegemee jibu la hapana?Kuomba lazima uombe ila wengi hutegemea kupokea jibu la hapana but, yeye anakwambia haina shida ni ww tu
Exactly mkuu!Wanawake wa style hiyo huwa na dumu nao sana sana kuliko wale wanaonisumbuaga..wale wasumbufu huwa baada ya kunisubirisha muda mrefu huwa nikichovya na kukuta yaliyomo hayamo Huwa sigeuki nyuma..wale wa chap kwa haraka kama hao unaowasemea aseee most of them wana mapenzi ya kweli na sio Wazee wa drama.
Hapo, unakuta hii inatokea hasa kwa mtu mnaejuana muda mrefu na alikua anakuelewaSioni tatizo lolote.
Mambo ya kuanza kusumbuana, kuhangaishana ni kupotezeana Muda.
Muda wenyewe uko wapi wa kuanza kubembelezana Kimapenzi!?
Hiyo ndio yenyewe, unaulizia KALI na kinaeleweka.
Maisha yenyewe mafupi haya.
Eti nisubiri Miezi Sita bila ya kugusa!?
Halafu kuna mwenzako mwingine anapewa kiulaini kila anavyotaka, hiyo siyo kweli
Kabisa hujakosea mkuuHili la Equation x,
ndiyo jibu sahihi kwa Uzi huu....
Unajua mapenzi ni hisia za ndani za mtu , awe mwanamke au mwanaume. Sasa kumkubali mtu na kumtunukia mwili wako ni swala la maamuzi ya ndani ya moyo na hisia juu ya mtu husika. Sasa hapo haijalishi swala la muda wa lisaa , siku , ma wiki , au mwezi au miezi, au miaka ili kumtunukia mwili wake.
Mapenzi ni maridhiano toka moyoni mwa wahusika siyo swala la muda.
Mpaka mtu anamtunuku mtu mwili wake ujue ameridhika na wala hajalazimishwa, ni amehiari mwenyewe.
Kwahiyo kutunuku siku hiyo hiyo kesho yake haimaanishi huyo mwanamke au mwanaume ni Malaya au muhuni. Hapana.