Et! Wana jukwaaa wenzangu, we unamchukuliaje mdada umekutana nae tu sehemu mara ghafla ukampenda na kuamua kumtongoza,na akakukubalia.
Then kesho yake akaamua kukutunuku kila unacho kihitaji kutoka kwake!
Wewe kama mwana jukwaa huru utamchukuliaje msichana wa dizaini hiyo?
Siku hiz umekuwa kichaa unaanza kucheka peke ako au ni lile shemeji furushi kule home ndo linakutatiza eti sister atoto
Ameni mtumishi pia sio kuikimbia zinaa tu na amri ya saba inasema usizini kabisa ...Imeandikwa ; “ikimbieni zinaa”
Timua mabio!
Acha kuzani ni bahati kumbe ni hatari!
Mungu ameagiza kuikimbia zinaa na siyo kujaribu kujieleza
MDADA YEYOTE ANAYENIPA PAPUCHI,I GOT MUCH RESPECT FOR HER,HUWA NAWAJALI PIA, mi huwa naona kupewa papuchi na mwanamke anayejielewa ni hadhi kubwa mno nimepewaEt! Wana jukwaaa wenzangu, we unamchukuliaje mdada umekutana nae tu sehemu mara ghafla ukampenda na kuamua kumtongoza,na akakukubalia.
Then kesho yake akaamua kukutunuku kila unacho kihitaji kutoka kwake!
Wewe kama mwana jukwaa huru utamchukuliaje msichana wa dizaini hiyo?
sasa hukutaka akupe?Et! Wana jukwaaa wenzangu, we unamchukuliaje mdada umekutana nae tu sehemu mara ghafla ukampenda na kuamua kumtongoza,na akakukubalia.
Then kesho yake akaamua kukutunuku kila unacho kihitaji kutoka kwake!
Wewe kama mwana jukwaa huru utamchukuliaje msichana wa dizaini hiyo?
Madem wa sampuli hii kurudiwa tena kwenye show huwa nadra na wanaume wanawachukuliaga kama safisha mkuyengeEt! Wana jukwaaa wenzangu, we unamchukuliaje mdada umekutana nae tu sehemu mara ghafla ukampenda na kuamua kumtongoza,na akakukubalia.
Then kesho yake akaamua kukutunuku kila unacho kihitaji kutoka kwake!
Wewe kama mwana jukwaa huru utamchukuliaje msichana wa dizaini hiyo?
Thamani yake ni ndogo sana mwanamke anayejithamini atahofia kufanya hivyo mapema kwasababu analinda hadhi yake!