Unamshaurije huyu dada?


**** u bitch..!
 
ewakati ule ulimuita mchumba sasa unamuita muuza genge! basi usimuonyeshe kuwa humpendi tafuta namna utakavolipa fadhila unaweza kushawishi aongeze elimu kwa kumlipia pia unaweza kumwongezea mtaji au hata ukamjengea kajumba au kumnunulia ka stalet lakini ukimwacha taratibu bila kumdhalilisha
 
Hamna kitu hapo; cwezi poteza muda wangu kukoment kitu cha kupika kiac hicho na kwa umri huo kwa hapa kwetu tz huwezi kuwa na degree...kwaherini wanajf!!!!

Hapo umefanyaje?? au umepost?? ...... sio kosa lako!! ni ID yako.
 
Hapo kweli mkuu Maprosoo, tena mfano ukumfungilia biashara anaanza kupendeza wajanja wanaanza kumuona sasa hapo ni kumwachia mungu tu kama ni wako atakuwa wako kama sio ndio imekula kwako

Kwa mademu wa siku hizi walivyokua vicheche ukimwachia mungu aisaidii!! atamegwa mpk basi.
 
Whenever I get a chance, huwa nasema ukitaka kumsaidia mtu, msaidie bila kutegemea kurudishiwa chochote. Kumsomesha mwanamke ili baadae awe wako ni kujitafutia maumivu tu hasa hasa ukiwa masikini. Mtu yeyote akipata elimu, anajiona yupo kwenye class nyingine na atahitaji watu wa class yake ili wa-fit in together.

Bora ujielimishe wewe kwanza, then mpeleke yeye.
 
Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah, inauma sana, jamani watu hawana aibu wala huruma. Imagine ingekuwa ww ungefanyaje?
 

Imekushangaza hiyo swahiba wangu Mbu??

Najua kuna watu wengi wanaweza kuwa wamekwaza na hiyo kauli...ila nakuhakikishia mkuu kwamba huo ndiyo ukweli mchungu....

Ni mifano hai kibao...I wish I could narrate some of them...

Na kama huamini au mtu yeyote ana doubt kuhusu hiyo basi afanye utafiti wake aje na data za kutosha ku nullify hiyo theory....but I personally buy it with sufficient empirical evidences ...za uzoefu na data!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:


Inawezekana unachosema kina ukweli....ila ni kwa nadharia zaidi....

Kama huamini ni sawa tu..ila ukweli ni kwamba wanawake wanapata shida kuvumia kuishi kwenye ndoa na mtu wa hadhi ya chini yake....Mtaani atasema unapaka shombo au unamtia aibu....Hawezi kutoka na mtu wa namna hiyo na kwenda naye kwenye high profile meeting au party....., Graduate na muuza genge wapi na wapi jamani??

Tuwapende tu, ila huo ndiyo ukweli kuhusu mama/dada/binti/wajukuu zetu.....!

It is a bitter fact....but it is still a fact!!

Babu DC!!
 

Mbona wapo wanaume kibao wanafanya mambo ya namna hiyo??

Hebu soma huo mfano hapo chini.....

Hii mada imewaumiza sana wanaume ila nadhani ni kwa sababu binadamu wengi tunatawaliwa na ubinafsi (selfishness). Vinginevyo, kila mtu anaweza kufanya mambo ambayo wengine wanaona ni upuuzi bila kujali jinsia yake!!



Hilo ndilo ambalo baadhi ya wachangiaji wamelisahau....

Hata wanaume wanafanya mambo ya kuwaumiza wake zao ambao wamehangaika nao enzi zao kusota kusaka maisha.



That's my word!!

Babu DC!!
 
Yaani hizi ishu ni nyingi sana mi si shangai c'z kuna rfk yangu yeye alisomeshwa na fundi kinyozi kuanzia form one mpaka six kwa sababu wazazi wake walikuwa wamefariki akawa analelewa na ndg tu isitoshe uwezo ulikuwa mdogo sana wa huyo ndugu yake. Sasa alipofika chuo akaanza kumzingua jamaa, mwisho ikabidi amwambie kwa elimu yangu ya chuo siwezi kuwa na fundi kinyozi Ikabidi jamaa amwambie poa lkn nikisema unirudishie gharama zangu ntakuwa najifedhehesha endelea na maisha mama Kijana alikuwa alikuwa anachekwa mtaani balaa, washikaji wenzake wakawa wanamwambia hy hela ni bora ungefungua Baba Shop. Amekuwa hana jinsi, hivyo wameachana.
 

exactly! Hiyo ndo principle yangu
 
 
This is bad. ni vyema bint ajiulize kwamba asingekuw huyo muuza genge angekuwa wp leo? Asimsaliti coz anaweza kum badilisha mwanaume kifedha na wakawa na gd life
 
Laana itakutafuna vby ww! Kajnyma kula na kuvaa ili usome leo hi humtak? Jiandae kuachwa na utakaempenda tena vby kuliko utakavyomuacha huyo.
 
wee dada unaona umefanya fair eeh? kwani elimu ya chuo kitu gani.angalia.TAKE CARE B4 THINGS GET WORSES
 

yani huyu dada ndio aone aibu mwenzio na genge ndo kafanya umesoma badala ya kumbadili na yeye akae kisomi eti unataka kumkimbia utalaaniwa wewe tabia gan hiyo dada mwenzio kaumia ajili yako
 

Kiukweli ni nadharia tu mkuu kama ulivyo note ila kama alifikia hatua ya kumvulia chupi muuza genge kipindi hicho sijui alikuwa anamwonaje. Niliweka hiyo nadharia based on uzoefu wa wanawake ktk kuwabadilisha wanaume hasa kwenye mavazi, unaweza ukajifanya hupendi kuvaa suti au kuchomekea lakini atatumia kila mbinu mpaka utabadilika na kuanza kupigilia pamba ambazo ulikuwa huzipigi pia nikaangalia huyo muuza genge kama amesomesha mtu chuo kikuu wakati wajanja wa mjini ambao wanaonekana wana hadhi kutoa service kwa mrembo ni issue basi kwa namna ama nyingine alikuwa ana possibility ya ku-grow kibiashara. (KIUKWELI MWANAUME WA UKWELI ATACHUKUA MWANAMKE AMBAE ANAMWONA YUPO NDANI YA UWEZO WAKE KIFIKRA NA OTHER ISSUES NA KAMA AMEMZIDI BASI LAZIMA NA YEYE YUPO KATIKA MCHAKATO FLANI WA KU-MOVE TOKA HATUA MOJA KWENDA NYINGINE NA WAKATI MWINGINE DEMU ANAWEZA KUKUBALI UKAJIULIZA MARA MBILI MBILI MWISHO WA SIKU TUTAISHIA WAPI MAANA ULIPOMTOKEA NA WEWE THE WAY MUONEKANO WAKO ULIVYO AKAJUA NI INTELLECTUAL FLANI KUMBE KILAZA MJANJA WA MJINI NA MUDA MCHACHE UJAO ANAKUKAMATA KATIKA MAZUNGUMZO YA KAWAIDA ANAGUNDUA UPO SHALLOW)

Ni kweli tuwapende ila sometimes na wao ndio maana wanatendwa kwa kupenda kuchagua partner ready made ambao miongoni mwao kuna ambao wana hadhi kweli na kuna ambao pretender akija kugundua ameshanasa na amekabidhiwa zawadi ya mtoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…