Maoni gani? Maelezo yapo wapi?Maoni yenu tafadhali
Nenda gereji wakalinyanyue juu unakua unakweaKama upo kijijini usinunue gari fupi
Ni hayo tu
Nenda gereji wakalinyanyue juu unakua unakwea
Kuna Mzee kainyanyua sikuamini Ila ndio hivyo km inapepea hivi Ila ndio imeshanyanyukaBado haisaidii
Gari itakosa balance ,wabongo kwenye vipimo hawawezi
Hahahahahah kwa kipindi hiki nunua Crown Athlete ina ubora kuliko VerossaNamaanisha kwa kipindi hiki nikinunua Verossa ni nzuri au nitafute gari jingine? Natamani kujua uzuri na ubaya wa Toyota Verossa..?
Changamoto huwa hakuna ikiwa una hela. Spare parts zimejaa Ilala bei chee tu unapata. Kikubwa utakuwa mtu wa ajabu tu kwenye jamii yetu ya kibongo kununua gari ambayo iko out of class kwa sasa. Waliokuwa wana Verossa sahizi wanaendesha Crown na Benz.Natamani nifahamu ni faida au changamoto zipi nitapata nikinunua Verossa kwa Sasa