financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 18,139
- 43,362
It's abit complicated story mkuu! Ila ndiyo hivo kuna mtu nilikua nampenda mno mno ila sasa yeye nadhani hakuwahi kunipenda nahisi hadi akiona sms zangu ama calls anahisi namsumbua hivi😒 na mimi hivo hivo unaona huyu mtu kama anakuelewa hivi ila hata ukijilazimisha kumpenda pia moyo unakataa kabisa! Basi tu ila maisha yanendelea.Natamani sana kuiskia story yako about love mchumba.
na mimi hivo hivo unaona huyu mtu kama anakuelewa hivi ila hata ukijilazimisha kumpenda pia moyo unakataa kabisa! Basi tu ila maisha yanendelea.


