Vipost vingine utapiamlo mtupu
ebu twambie kilichomtoa miraji fastjet mikocheni hadi moroko kwa akina kalapina.
Dada nimefuatilia habari zako una madharau sana tunaandaa utaratibu wa kukufanyia ili ka adabu karejee
Radhia Sweety umenifanya nipate nguvu za kulitumikia taifa asubuhi hii baada ya kunichekesha na kuongeza uhai wangu.
Nimekumbuka wakati uleeee miaka ya 47 nikiwa nasoma somo moja likiitwa Sayansi Kimu (hata maana ya kimu siijui). Wakati huo tukiambiwa mambo ya utapiamlo kuwa ni ukosefu wa kula chakula bora na vyakula vyenyewe ni vya mafuta, Wanga, Hamilojo (siyo ULOJO), nk!
Kuna analysis naandika kuhusu historia ya wizara hiyo. Kama hujui sema sio kuandika matusi. Dont be barbaric!
Kuna analysis naandika kuhusu historia ya wizara hiyo. Kama hujui sema sio kuandika matusi. Dont be barbaric!