Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Siku hizi ni mwimbaji na ana kundi lake la wasanii. Nilimuona akitumbuiza wimbo kwa wajumbe wa mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika Dodoma wakati Kikwete anataeuliwa na Chama chake kuwa Mgombea urais kupitia CCM.
Siku hizi ni mwimbaji na ana kundi lake la wasanii. Nilimuona akitumbuiza wimbo kwa wajumbe wa mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika Dodoma wakati Kikwete anataeuliwa na Chama chake kuwa Mgombea urais kupitia CCM.
Hana upendwa wowote anatoka na mgombea fulani wa ubunge wa huku kwetu tena huyo mgombea ni mume wa mtuHuyu si alishakuwa mpendwa? Anakaa kule Kigamboni siku moja laikuwa nanhojiwa akasema sasa yy anaimba injili!
Aman kweli huyu ni msanii!
mwenyewe alisema ameokokaNJAA itawamaliza watanzania,mbona hana msimamo wa Maisha?mara nyimbo za Injili...mara filamu za Ajabu,sasa hivi mpiga debe wa Kampeni CCM??after uchaguzi what next??:confused2:
anavyokatika kiuno mbele yao unategemea nini dia! huo ndo mshahara wakeHana upendwa wowote anatoka na mgombea fulani wa ubunge wa huku kwetu tena huyo mgombea ni mume wa mtu
duuu kama anaimba kama Kamata alivyokuwa basi tena kwisha kazii na hyo mapaja yake ya kichina ndio kabisaaaa wakora wa sisiemu watamchangamkia mbaya.
Duh nakosa la kusema watu huwa hawajui kama mungu hadhiakiwi?Hana upendwa wowote anatoka na mgombea fulani wa ubunge wa huku kwetu tena huyo mgombea ni mume wa mtu