Unamkufuru Mungu bila kujijua

Unamkufuru Mungu bila kujijua

Hii ni sawa na kujadili maini ya nguruwe eti waislam msile! kwani hiyo nyama yake imeruhusiwa? unatahadharisha neno lililopo kwenye wimbo kwani uislam unasema nini juu ya nyimbo?

Maini ya nguruwe hayaruhusiwi kuliwa muislam kwani nayo ni sehemu ya nyama iliyoharamishwa.
Lakini mchuzi wa nguruwe ni ruksaaaa kuunywa kwani mchuzi sio nyama.
 
Maini ya nguruwe hayaruhusiwi kuliwa muislam kwani nayo ni sehemu ya nyama iliyoharamishwa.
Lakini mchuzi wa nguruwe ni ruksaaaa kuunywa kwani mchuzi sio nyama.

yakupasa kuwa na ufahamu kwa kile unachokiongea au kukiandika maana usije ukawapotosha wale wanaokuamini.....
 
Maini ya nguruwe hayaruhusiwi kuliwa muislam kwani nayo ni sehemu ya nyama iliyoharamishwa.
Lakini mchuzi wa nguruwe ni ruksaaaa kuunywa kwani mchuzi sio nyama.
hii kali
 
Kuna watu bado wanaamini hizi story!? Smh

Mbona mnalazimisha mambo Kwanini usome kinyumenyume.. Unaweza relate kila kitu na shetani ukitaka kama uta-derive hivyo

Acheni story zenu bana
 
yakupasa kuwa na ufahamu kwa kile unachokiongea au kukiandika maana usije ukawapotosha wale wanaokuamini.....

Huo ndio ukweli.
Mchuzi mtume hakukataza.
 
Back
Top Bottom