Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
Hello, need ur help guys
Nina rafiki ambaye tumekutana chuo, toka nijuane nae is about 2 years now, siwezi kusema ni best friend coz simjui ki undani, ila most of the time tukiwa campus ndio mtu ninaye ongea nae, doing discussions together.He so gud friend to me
now ni kama miezi 6 ameanza kunisumbua kimapenzi, nimejaribu kumkatalia kiistaarabu bila ya kuvunja uuhusiano wetu ila haelewi, ana hope kuna siku nitakubali.
VIGEZO VYA KUMKATAA
1: Sipendi kutoka na mtu ambaye nasoma nae au nafanya nae kazi
2: Im 2 busy(sipo tayari kuwa na uhusiano at this time(relationship holiday)
3: Simtamani kimapenzi hata kidogo(im not into him)
4: Ana makalio makubwa kama mwanamke
5: Ana kitambi
6:Meno yake yana weusi weusi kama mvuta sigara(havuti sigara)
the last one(he is from congo, i prefer black skin from bongo land)
Kigezo cha 1,2 na mwisho nimemwambia, ila hivyo vyengine siwezi kumwambia.Nifanyaje ili kuepuka kero?? bila ya kum hurt??
mbaya zaidi kuna sehemu ya kazi ananiunganishia This june.ray2:
...The truth will set you free.
Ukiendelea 'kumlea,' ipo siku hizo "nataka-sitaki" utajishtukia anakubaka na kufuatiwa na "am sorry nyiiingi!"