Mkuu ukiwa na silaha mkafanyiwa timing, labda bar au popote kwenye kusanyiko, usije hata siku moja ukathubutu kutoa silaha hata kama unayo, the grave mistake tht even a trained commando would thnk twice, sababu hao majambazi wameweka kwenye plan yao kuwa upo uwezekano kukawepo na watu wenye silaha, bora ingekuwa raia tu mwenye silaha, lakin wanaogopa zaid kuwa anaweza kuwepo askar au polis au mjeda, au hata usalama na akawa pia na silaha so wanakuwa wanawa monitor wote.
Niliona pale mawela sinza jamaa walivamia, mlinz akijidai eti hawamuon akaanza kupiga simu, ww, hee jamaa alimtungua kutokea mbali kishenzi, wale jamaa nadhan huwa ni askari.
Me naongelea watu wachache wameingia sehem wana mapanga, au vibaka wale wa mtaani wanakuja na silaha ndogo ndogo.