Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 8,943
- 25,284
Hongera, kwa kuwa na sifa zote, muda utakapofika, mtakutana wenye nia moja na kutengeneza a product of desireable quality... mambo ya kutokuwa na nyota ni mambo unayojitengenezea kwa fikra na ulimwengu hukujibu kutokana na fikra zako....Hizo sifa zote ninazo ila shida nyota yangu haijawaangukia nyie niliwahi jiuliza why sipati mume nakasoro gani naninakila kitu .
Halaula jibu nimelipata kumbe rangi zenu sina nyota nazo .
Laiti ningelijua mapema hata jf nisingeijua