LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 457
- 1,721
Kuna maisha flani ukiyaishi yaani wewe usingizi kila siku ni kuukatisha tu ikifika mchana ukianza sinzia unabugia tu energy drink kwishaa
Mimi mara ya mwisho kuukatisha usingizi ilikuwa ni kipindi nasoma ila toka niachane na shule kwa asilimia 90 huwa naamka usingizi ukikata ni kuanzia 1:30 asubuhi ndo huwa naamka.
Hii pia ni kulingana na kazi yangu kwani hainilazimu kufungua mapema sana
Humu kuna watu aisee muda wote mchana ukimwambia tu aegemee kwenye sofa mchana hamalizi hata nusu saa anaanza kuota kabisaa.
Sent from my TECNO CA8 using JamiiForums mobile app
Mimi mara ya mwisho kuukatisha usingizi ilikuwa ni kipindi nasoma ila toka niachane na shule kwa asilimia 90 huwa naamka usingizi ukikata ni kuanzia 1:30 asubuhi ndo huwa naamka.
Hii pia ni kulingana na kazi yangu kwani hainilazimu kufungua mapema sana
Humu kuna watu aisee muda wote mchana ukimwambia tu aegemee kwenye sofa mchana hamalizi hata nusu saa anaanza kuota kabisaa.
Sent from my TECNO CA8 using JamiiForums mobile app