Unalitambuaje godoro feki?

Unalitambuaje godoro feki?

Kama uko sawa fulani. Na unaishi kwako. Nyooka tu kwenye godoro zenye spring. Wengi hawazijui na nadukani wengi wanaziuza kwa order.

Ni godoro limechangamka bei lakini ni la kudumu. Humo hautakuja kusikia shingo,mgongo au kichwa kuuma.
 
Godoro halitakiwi kuwa kama jiwe. Mwezi limelaliwa lakini bado kama umelala kwenye mbao.
Usiseme Godoro halitakiwi kuwa gumu, Sema ww huna matumizi na Godoro gumu akiwemo na mtoa mada.

Ukienda kiwandani yapo magodoro mengi magumu na yanauzika fresh ila huku madukani sio rahisi kuyakuta hayo mana hayana wateja wengi.

Godoro kuwa gumu, sio kwamba ni feki.
 
Mkuu nikushauri tafuta godoro la spring kama upo vizuri kifedha, yanauzwaga bei kidogo lakini ni mkataba mpaka utaligawa mwenyewe all in all hilo godoro sio baya lina density ya ngapi
Kutokana na mada yake, hawezi kujua density ya hilo Godoro mana angejua asingelinunua au asingeleta Hii mada.
 
Mkuu nikushauri tafuta godoro la spring kama upo vizuri kifedha, yanauzwaga bei kidogo lakini ni mkataba mpaka utaligawa mwenyewe all in all hilo godoro sio baya lina density ya ngapi
28
 
ingiza vipimo vya godoro hapo, chapchap unalishtukia kama nifeki

1773355637161.png
 
Back
Top Bottom