Unalitambuaje godoro feki?

Unalitambuaje godoro feki?

SIMSHAURI MTU ACHOME PESA YAKE KUNUNUA GODORO DODOMA..haya magodoro ya DODOMA NI FECK HALISI..

ila nimeambiwa QFL ni mazuri .
 
dah siji kusahau, nilinunua godoro la dodoma asili, ni gumu zaidi ya sakafu yale ni mateso siyo raha. unaamka mbavu zinauma, mgongo umechemka. yaani unalala saa mbili then saa 8 au 9 hivi unaamka upumzike

sahv nina QFL yaani ni burdani, hata Mbaga Jr na ndege secretarybird wanaweza hata kulitoboa wakapigia nyeto safi
Unaamka ili ulale upumzike 😂

Hayo malaini ndio mazuri wa wale wanaotaka kuanza kujifunzia nyeto
 
dah siji kusahau, nilinunua godoro la dodoma asili, ni gumu zaidi ya sakafu yale ni mateso siyo raha. unaamka mbavu zinauma, mgongo umechemka. yaani unalala saa mbili then saa 8 au 9 hivi unaamka upumzike

sahv nina QFL yaani ni burdani, hata Mbaga Jr na ndege secretarybird wanaweza hata kulitoboa wakapigia nyeto safi
Yaani kesho naenda Kununua hilo godoro.
 
Salama wakuu.

Nilinunua godoro la Vita Supreme. Limekuwa gumu kama jiwe hadi linaumiza.

Napata mashaka labda ni feki. Unatambuaje godoro feki? Maana nimesikia kuna watu wanayafyatua vichochoroni.
Nunua qfl Dodoma au tanfoam Arusha,zingatia maelekezo yao kwenye matangazo
 
Aise nimenunua godoro 12 inches ni gumu kama mbao.

Mwanzoni nilidhani labda ni kwasababu ya upya litalainika lakini hali imekuwa tofauti ni zaidi ya miezi miwili mzigo haulainiki hadi nafikiria kurudia godoro la mwanzoni nililokuwa natumia hili niliuze hata kwa hasara.

Kampuni siwezi kuitaja maana ni kuharibiana biashara lakini ni kampuni kubwa tu kongwe inayoji brand kila uchwao kwamba wao ndiyo watu wa hizi kazi.
 
Aise nimenunua godoro 12 inches ni gumu kama mbao.

Mwanzoni nilidhani labda ni kwasababu ya upya litalainika lakini hali imekuwa tofauti ni zaidi ya miezi miwili mzigo haulainiki hadi nafikiria kurudia godoro la mwanzoni nililokuwa natumia hili niliuze hata kwa hasara.

Kampuni siwezi kuitaja maana ni kuharibiana biashara lakini ni kampuni kubwa tu kongwe inayoji brand kila uchwao kwamba wao ndiyo watu wa hizi kazi.
Kuna watu hawaamini ugumu unaweza kuwa tatizo.
 
Nadhani haujakutana na ule ugumu Wa mbao,aisee Godoro unalala Hadi unaamka upumzike jinsi mwili unavyouma!
Nilipanga kukaa wiki ugenini niliondoka baada ya siku mbili Tu!
Mtu mwenye shida ya mgongo hilo godoro linamfaa sana! Kama huna shida ya mgongo huweiz kuyapenda hayo!
 
Back
Top Bottom