Notorious_Marcc
JF-Expert Member
- Feb 16, 2024
- 2,599
- 6,127
Zingatia label, mara nyingi huwa imebandikwa vibaya, inakuwa haifananii na ya kampuni husika, bei pia ni kitu cha kuzingatia ikiwa cheap sana kuna uwezekano ukaondoka na mzigo fake.
Hiyo ndio standard ya godoro tofauti na za spring, ukilala hutakiwi kubonyea inabidi unyooke
Hapo kwenye kubonyea unalikuta godoro la kuitwa panafoam haya magodoro miyayusho sana....ukiamika kama umetoka jehanamu.Hiyo ndio standard ya godoro tofauti na za spring, ukilala hutakiwi kubonyea inabidi unyooke
Hahahaha ni changamoto kwakweli, ndo maana kuna muda unashauriwa ulale chini kwenye floor ili unyooke sababu magodoro mengi yana changamoto ya kubonyea katiHapo kwenye kubonyea unalikuta godoro la kuitwa panafoam haya magodoro miyayusho sana....ukiamika kama umetoka jehanamu.
Afu unaniuliza destiny n nn Kwenye Godoro 😂
Ukiamka unachomoza kama unatoka shimoni 😂Hapo kwenye kubonyea unalikuta godoro la kuitwa panafoam haya magodoro miyayusho sana....ukiamika kama umetoka jehanamu.
Kuna godoro moja la home kati palibonyea mpaka nikawa nalala pembeni palipoinuka ukitandika kitanda ni vituko tu.Ukiamka unachomoza kama unatoka shimoni 😂
Nimeipenda hiidah siji kusahau, nilinunua godoro la dodoma asili, ni gumu zaidi ya sakafu yale ni mateso siyo raha. unaamka mbavu zinauma, mgongo umechemka. yaani unalala saa mbili then saa 8 au 9 hivi unaamka upumzike
acha tu mkuu, omba usikutane nayo hela yako mwenyewe inakutesa. halafu kuna watu humu jukwaani wanasema hayo ndo mazuri dah kweli tunatofautianaNimeipenda hii
Maana yake unalala halafu unamka unapumzika,kuna ugumu na ugumu,ila ugumu huo hapana,maana yake utafikiri kumejazwa mchanga ndani kama punch bagacha tu mkuu, omba usikutane nayo hela yako mwenyewe inakutesa. halafu kuna watu humu jukwaani wanasema hayo ndo mazuri dah kweli tunatofautiana
dah siji kusahau, nilinunua godoro la dodoma asili, ni gumu zaidi ya sakafu yale ni mateso siyo raha. unaamka mbavu zinauma, mgongo umechemka. yaani unalala saa mbili then saa 8 au 9 hivi unaamka upumzike
sahv nina QFL yaani ni burdani, hata Mbaga Jr na ndege secretarybird wanaweza hata kulitoboa wakapigia nyeto
Hilo godoro Halifai kabsa labda kama wanayo mengine mazuridah siji kusahau, nilinunua godoro la dodoma asili, ni gumu zaidi ya sakafu yale ni mateso siyo raha. unaamka mbavu zinauma, mgongo umechemka. yaani unalala saa mbili then saa 8 au 9 hivi unaamka upumzike
sahv nina QFL yaani ni burdani, hata Mbaga Jr na ndege secretarybird wanaweza hata kulitoboa wakapigia nyeto safi
Dogo ndiyo umemaliza six?
hakuna yote yapo vivyo, nadhani ndo brand yaoHilo godoro Halifai kabsa labda kama wanayo mengine mazuri
ndiyo mkuu unaamka kukaa kwenye kiti upumzike, mwili ukipoa unarudi kuendelea na kazi ya kulalaMaana yake unalala halafu unamka unapumzika,kuna ugumu na ugumu,ila ugumu huo hapana,maana yake utafikiri kumejazwa mchanga ndani kama punch bag