uyu mzee ni botanist na nafkiri kwa tanzania hii ndiye mtu pekee anayeweza kuclassfy mimea ukienda mliman chuon utamkuta pale hebarium taasis nyingi sana za utafiti zinamtumia
Juice ya stafeli ni nzuri sana wapemba ndio watengenezaji sana wa juisi hii,hapo zamani kulikuwa na kiosk cha juisi pale karibu na msikiti Magomeni Mwembechai walikuwa wantengeneza sana kwa sasa sijui kama wapo loo nimetamani sana