mysteryman
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 977
- 176
Afisa m1 kaenda kwenye shamba la miti kukagua. Msimamizi akamwambia usiingie sasa hivi! kabla hajafafanua yule Afisa akatoa kitambulisho cha kazi 'we nani wa kunizuia na hiki kitambulsho?'' Jamaa akamwambia pita. Kupita tu akaanza kupiga makelele: nyukiiiii! nakufaaa nyukii nisaidie,! Jamaa akamjibu Waoneshe Kitambulisho hao!