unaleta ujuaji hapa!!!!....

unaleta ujuaji hapa!!!!....

mysteryman

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2011
Posts
1,080
Reaction score
393
Afisa m1 kaenda kwenye shamba la miti kukagua. Msimamizi akamwambia usiingie sasa hivi! kabla hajafafanua yule Afisa akatoa kitambulisho cha kazi 'we nani wa kunizuia na hiki kitambulsho?'' Jamaa akamwambia pita. Kupita tu akaanza kupiga makelele: nyukiiiii! nakufaaa nyukii nisaidie,! Jamaa akamjibu Waoneshe Kitambulisho hao!
 
Nimeipenda hii!hapo inaonyesha tusiwadharau wenzetu kisa ww bosi!
 
duh awaonyeshe kitambulisho nyuki..........hahahahaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom