Unalala juu ya kifua cha mwanamke zaidi ya nusu saa unatafuta nini?

Umeongea kwa hasira sana mkuu
Kwa sababu kuna mwanaume mwenzangu hapa jirani alikuwa anakimbizana nyuma nyuma kama mkia kumfuata binti ambaye hana muda naye, kitendo kimenishikisha hasira sana. Anaudharirisha uanaume
 
Asante,kusema la ukweli mimi nimekuelewa sana.

Ila umenifurahisha uliposema eti unapiga moja na unatoa tabasamu la ushindi na unampa buku akakojolee mbele
 
Hapo mwanzo umenikumbusha jinsi mke wangu alivyokuwa akiniambia kuwa wanaume wenzio wanaokuwa na wanawake wa nje tayar wameshajenga na wako na maisha poa,jijenge kwanza baba
 
Kwani Kuna uhusiano Kati ya upungufu wa nguvu za kiume na utajiri?
 
Ujumbe kuntu kabisa huu πŸ’―πŸ€πŸ€£πŸ€£πŸ€£
 
"""Hapo mwanzo umenikumbusha jinsi mke wangu alivyokuwa akiniambia kuwa wanaume wenzio wanaokuwa na wanawake wa nje tayar wameshajenga na wako na maisha poa,jijenge kwanza baba""" πŸ“ŒπŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨πŸ”¨
 
Show za kama kuku hapana....bora niahirishe hadi siku yenye muda wa kutosha.
 
Wee bwana wee hayo ma'Future yenu mnayohubiri kila siku kuyananga mapenzi achen, hizo mbanga hatutaki
.

Wengine furaha zetu na ndoto zetu ni kupeleka moto FULL STOP, tena moto kweli kweli, sio masaa tuu mpka siku nzima na week inakata ni mwendo wa kubandika na kubandua, akiinama imoo akiinuka imoo, iwe kwenye veranda ama jikoni, ni mwendo wa anachukua anaweka WAAAAH!
.

Hizo pesa mnazotafuta kila siku faida yake ni nini kama hampeleki moto vilivyo? Pesa na kazi vyafaa nini pasipo kupeleka moto ipasavyo?

Nyie jifanyeni mko bize na kazi+kutafta pesa msahau kuwalidhisha wake zenu, alafu sisi wanamtaa tutawasaidia kupeleka moto na kuwazalisha wake zenu kwa niaba yenu wapumbavu
.

Kupeleka moto hakutaki visingizio kama hauna nguvu za kiume sema watu wawaibukie PM kuwauzia Vumbi la mkongo na mujaarabu wa busta+alkasusu
.

Acheni sababu bana, pelekeni moto
 
Ushauri wangu ni:
Ghafra bin Vuu itumie
Maana hata upige mpaka zitoke Cheche Bado atato........ nje.

Hivyo usishindane na ulipotoka
Piga kimoja kifadha mwaga ndulele nenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…