Uko kama mimi mkuu kuna muda nakua sina hamu ya kula options zile zile! tatizo muda wa kuviandaa na mamsap yuko kazini pia, sometimes natamani uji wa unga wa ngano nzima zile, karanga za kuchemshwa, viazi vitamu vya kuchemshwa unashushia maziwa mgando.
Watoto wangu utaskia daddy i want pizza, ya nyokwee! I buy dho 😂