Unakwama wapi?

Unakwama wapi?

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
39,320
Reaction score
60,506
Mwaka unaelekea ukingoni, umeajiriwa labda unakipato cha laki mbili, sita, milioni n.k, lakini huna hata genge la nyanya wala supu; angalau kila siku uwe unaangusha mbuzi mmoja.

Kwa kifupi, unaishi kwa mshahara tu au uchawa; tatizo ni nini?

Na mpaka sasa umechukua hatua gani?​
 
Muda wa kusimamia hakuna, ukiweka mtu basi kubali kulizwa
  • Hii ni changamoto kwa watu wengi; lakini mwisho wa siku lazima lengo litimie.​
  • Ulishawahi kujiuliza swali, kwa nini makampuni au taasisi zingine zina matawi mengi na zimeajiri watu wenye tabia mbalimbali na wamiliki wako mbali?​
  • Ni muhimu kutengeneza mfumo thabiti wa kuzuia au kupunguza uwezo wa kuibiwa pale unapokuwa mbali na biashara au mradi wako. Ndio maana kwenye makampuni au mashirika kunakuwepo na mfumo wa ukaguzi kwa kipindi fulani.​
 
  • Hii ni changamoto kwa watu wengi; lakini mwisho wa siku lazima lengo litimie.​
  • Ulishawahi kujiuliza swali, kwa nini makampuni au taasisi zingine zina matawi mengi na zimeajiri watu wenye tabia mbalimbali na wamiliki wako mbali?​
  • Ni muhimu kutengeneza mfumo thabiti wa kuzuia au kupunguza uwezo wa kuibiwa pale unapokuwa mbali na biashara au mradi wako. Ndio maana kwenye makampuni au mashirika kunakuwepo na mfumo wa ukaguzi kwa kipindi fulani.​
Hata ukifanya hvo utabadilishi wasimamiz wangap kwa mwaka? Inakua gharama zaid. Mana utagundua uliemueka anaiba,utamfukuza ataekuja nae mwiz utamfukuza and it goes on like that.

Mwingine haibi lakin kwa kua biashara siyo yake haitilii juhud. Mteja anue asinue ye hajali,poor customer care/service
 
Hata ukifanya hvo utabadilishi wasimamiz wangap kwa mwaka? Inakua gharama zaid. Mana utagundua uliemueka anaiba,utamfukuza ataekuja nae mwiz utamfukuza and it goes on like that.

Mwingine haibi lakin kwa kua biashara siyo yake haitilii juhud. Mteja anue asinue ye hajali,poor customer care/service
Tukiimarisha mifumo kwenye biashara, lazima itasonga. Pamoja na kujiimarisha kwenye ripoti za kila siku, wiki n.k
 
Mm kamshara 6k mmh nikaona hapa nisipotafuta kitu ntadoda nikafungua biashara ya online decorations naona imenitoa sehemu moja
Tupatie uzoefu ili wengi tuweze kujifunza
 
Mwaka unaelekea ukingoni, umeajiriwa labda unakipato cha laki mbili, sita, milioni n.k, lakini huna hata genge la nyanya wala supu; angalau kila siku uwe unaangusha mbuzi mmoja.

Kwa kifupi, unaishi kwa mshahara tu au uchawa; tatizo ni nini?

Na mpaka sasa umechukua hatua gani?​
Nakula pesa ya kodi.
 
Back
Top Bottom