Ukitaja jina hili nakumbuka 1987 kidato cha pili huzami kwenye paper ya form two kama huna kadi ya umoja wa vijana yachama na kuna mtu yupo mlangoni kama huna kadi unauziwa iliniuma sana hela yangu sh.600/=
Shule Ya Ufundi na Sekondari Moshi PCM 2005-7 hiyo iliitwa "Benga" na nilikuwa nalijaza uji saa nne nikirudi Class ni usingizi tuu. Hamna walimu sasa nifanyaje?