Amekuambia?[HASHTAG]#2020[/HASHTAG]
Hujui sababu iliyo mleta na hujui nani alimleta na hujui kwa nini alikuja.Mara baada ya uchaguzi mkuu,T.B Joshua alikuja Tanzania,na mara alipofika uwanja wa ndege,alishuka akiwa pekupeku,hakuvaa viatu
Tajiri huyo bilionea na muhubiri maarufu,si kwamba hakuwa na hela ya viatu,la hasha,ni bilionea
Kuvaa viatu ni ishara ya hasira ya kwa mujibu wa maandiko,na si Mara moja katika biblia manabii walivaa magunia wakiashiria kwamba Mungu hajaridhika na mambo yalivyokwenda au yanavyokwenda
T.B Joshua alishuka kwenye ndege akatembea peku ikiwa ni ishara kwamba nchi itakumbwa na mambo mabaya kutokana na uchaguzi uliofanyika
Haya kazi kwako kichanganua,fukuza fukuza watumishi,marisasi na bunduki,shida za wafanyabiashara,bomoa bomoa.........mengine ongeza
Na waislam wanaoingia msikitini bila viatu unawaambia nini?Mara baada ya uchaguzi mkuu,T.B Joshua alikuja Tanzania,na mara alipofika uwanja wa ndege,alishuka akiwa pekupeku,hakuvaa viatu
Tajiri huyo bilionea na muhubiri maarufu,si kwamba hakuwa na hela ya viatu,la hasha,ni bilionea
Kuvaa viatu ni ishara ya hasira ya Mungu kwa mujibu wa maandiko,na si Mara moja katika biblia manabii walivaa magunia wakiashiria kwamba Mungu hajaridhika na mambo yalivyokwenda au yanavyokwenda
T.B Joshua alishuka kwenye ndege akatembea peku ikiwa ni ishara kwamba nchi itakumbwa na mambo mabaya kutokana na uchaguzi uliofanyika
Haya kazi kwako kichanganua,fukuza fukuza watumishi,marisasi na bunduki,shida za wafanyabiashara,bomoa bomoa.........mengine ongeza
Yeye alianzia uwanja wa ndege tena siku hiyo mvua ilikuwa imenyeshaNa waislam wanaoingia msikitini bila viatu unawaambia nini?
TB Joshua ni mmoja qa matalel wanaoaumbua ulimwengu. Kifupi tu ni kuwa, alikuwa anatekeleza masharti ya mganga wa nigeria.Mara baada ya uchaguzi mkuu,T.B Joshua alikuja Tanzania,na mara alipofika uwanja wa ndege,alishuka akiwa pekupeku,hakuvaa viatu
Tajiri huyo bilionea na muhubiri maarufu,si kwamba hakuwa na hela ya viatu,la hasha,ni bilionea
Kuvaa viatu ni ishara ya hasira ya Mungu kwa mujibu wa maandiko,na si Mara moja katika biblia manabii walivaa magunia wakiashiria kwamba Mungu hajaridhika na mambo yalivyokwenda au yanavyokwenda
T.B Joshua alishuka kwenye ndege akatembea peku ikiwa ni ishara kwamba nchi itakumbwa na mambo mabaya kutokana na uchaguzi uliofanyika
Haya kazi kwako kichanganua,fukuza fukuza watumishi,marisasi na bunduki,shida za wafanyabiashara,bomoa bomoa.........mengine ongeza
Ni upumbavu kudhania mtu tapeli kama tbjoshua anaweza kutabiri mustakbali wa nchi. Mkuu umelogewa ujinga?
Dah..hahahMbona Mpoto alianza kutembea peku miaka mingi toka kipindi cha JK....
Huyo ni nabii?Mbona Mpoto alianza kutembea peku miaka mingi toka kipindi cha JK....