Mara baada ya uchaguzi mkuu,T.B Joshua alikuja Tanzania,na mara alipofika uwanja wa ndege,alishuka akiwa pekupeku,hakuvaa viatu
Tajiri huyo bilionea na muhubiri maarufu,si kwamba hakuwa na hela ya viatu,la hasha,ni bilionea
Kuvaa viatu ni ishara ya hasira ya Mungu kwa mujibu wa maandiko,na si Mara moja katika biblia manabii walivaa magunia wakiashiria kwamba Mungu hajaridhika na mambo yalivyokwenda au yanavyokwenda
T.B Joshua alishuka kwenye ndege akatembea peku ikiwa ni ishara kwamba nchi itakumbwa na mambo mabaya kutokana na uchaguzi uliofanyika
Haya kazi kwako kichanganua,fukuza fukuza watumishi,marisasi na bunduki,shida za wafanyabiashara,bomoa bomoa.........mengine ongeza
Who is TB Joshua????? kwani yeye ni MUNGU????? Acha upuuzi weweMara baada ya uchaguzi mkuu,T.B Joshua alikuja Tanzania,na mara alipofika uwanja wa ndege,alishuka akiwa pekupeku,hakuvaa viatu
Tajiri huyo bilionea na muhubiri maarufu,si kwamba hakuwa na hela ya viatu,la hasha,ni bilionea
Kuvaa viatu ni ishara ya hasira ya Mungu kwa mujibu wa maandiko,na si Mara moja katika biblia manabii walivaa magunia wakiashiria kwamba Mungu hajaridhika na mambo yalivyokwenda au yanavyokwenda
T.B Joshua alishuka kwenye ndege akatembea peku ikiwa ni ishara kwamba nchi itakumbwa na mambo mabaya kutokana na uchaguzi uliofanyika
Haya kazi kwako kichanganua,fukuza fukuza watumishi,marisasi na bunduki,shida za wafanyabiashara,bomoa bomoa.........mengine ongeza
2020? kwani hujasikia ule mswada wa kuongeza miaka iwe saba.... mkuu hii ngoma mpaka 2022Aisee tutaona na kusikia mengi hadi 2020
Na nchi ya viwanda ni hadi 20562020? kwani hujasikia ule mswada wa kuongeza miaka iwe saba.... mkuu hii ngoma mpaka 2022
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakumbuka pia kuwa nilisika kuwa alikuwa ndo kwanza alitoka kufunga kwa kusali na kuomba kwa ajili ya amani ya Tanzania. Ndipo akapata mguso wa kuja nchini. Tusimwekee maneno mdomoni ila ukweli anaujua yeye na Mungu wake.Nakumbuka sana Mkuu..
Ile haikuwa ishara njema hata kidogo..
Ndio na mimi nang'amua hivi sasa..
Utawala huu hauna kibali cha Mungu na katu hauotofanikiwa.