Mashamba
JF-Expert Member
- Sep 1, 2011
- 418
- 103
Wadau wa jukwaa, wasalaaam.
Hiki ni kipindi cha lala salama kwa utawala wa JK na sio vibaya tukiangalia moja ya mbinu aliyoanza nayo, kulifanyika semina elekezi kwa ngazi nyingi za juu pale Ngurdoto hotel.Katika kujadili hili tuangalie ufanisi na changamoto zilizojitokeza katika utawala wake na mchango wa zile semina na nyingine nyingi, pia ikumbukwe huu ndio utawala uliopatwa na misukosuko mingi. Tujue kama walienda kutafuna kodi zetu au kuna kitu wametuengezea .
Karibuni,
Mashamba.
Hiki ni kipindi cha lala salama kwa utawala wa JK na sio vibaya tukiangalia moja ya mbinu aliyoanza nayo, kulifanyika semina elekezi kwa ngazi nyingi za juu pale Ngurdoto hotel.Katika kujadili hili tuangalie ufanisi na changamoto zilizojitokeza katika utawala wake na mchango wa zile semina na nyingine nyingi, pia ikumbukwe huu ndio utawala uliopatwa na misukosuko mingi. Tujue kama walienda kutafuna kodi zetu au kuna kitu wametuengezea .
Karibuni,
Mashamba.