mzeewangese
JF-Expert Member
- Feb 11, 2016
- 640
- 495
Ilikuwa hamna boda bodaNilienda kupiga pepa la UE Coet. Kufika mlangoni Naulizwa ID kujisachi hamna. Bila ID huingii. Nikawaza akili ikanituma nikaenda hospitali ya chuo. Nikaongea na dereva wa ambulance nikampa 30,000/=. Akanifikisha Mabibo chap na kurudisha main campus.
Itaendelea...