Kupigwa banzi, na mtama ukawa mwisho wa kwenda uwanjani,
Afande akasema ambao hawawez kwata tokeni mbele nikawa wa kwanza, na akadai kesho tungefikishwa kwa kamanda kikosi,
Kesho yake akaamka anaumwa na kuandikiwa c2, hivyo hakuweza kutekeleza mpango wake na tokea hapo tukawa washikaj sana,
Nakumbuka tunapangwa kwenye makundi kama kwata, ngoma, single, Kombat akanitoa akaniambia hizi sio kazi wewe ni mujibu wa Sheria tuu, njoo nikupeleke jikoni huko nikaingia huko mpk naapa,