Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Mazee, hata angelikuwa Mtanzania huko UK na anafanya kazi ubalozini, kingelitokea hikihiki.
Ila wenzentu kwa sababu wana hela, wanachoweza kukufanya kwanza ni kuwatuma POLISI wa Madiplomat wanakudaka na kuandika barua nyumbani kwenu ili urudishwe......
Ukisharudi tu, unakuta Chenge anakusubiri akupeleke Mahakamani maana kashachukua hela kutoka kwa jamaa. Ukiwa nje kama Diplomat, huwezi shitakiwa ila watakufukuza na kuja kwenu kukufungulia kesi..................
Ahhh, yule dada wa Iringa? Wahehe wakaanza kumla shemeji yao. Nakumbuka jamaa mmoja pale Kibaha alimzaba mbwa kibao na kusema "mnatuharia dada zetu........." Masikini mbwa yule...........
Ule msemo wa akina dada wa "Hapendwi mtu......" wanaume waliupenda sana wakati huo na jibu likawa "........yeahhh, anapendwa Dog".
Ila wenzentu kwa sababu wana hela, wanachoweza kukufanya kwanza ni kuwatuma POLISI wa Madiplomat wanakudaka na kuandika barua nyumbani kwenu ili urudishwe......
Ukisharudi tu, unakuta Chenge anakusubiri akupeleke Mahakamani maana kashachukua hela kutoka kwa jamaa. Ukiwa nje kama Diplomat, huwezi shitakiwa ila watakufukuza na kuja kwenu kukufungulia kesi..................
Ahhh, yule dada wa Iringa? Wahehe wakaanza kumla shemeji yao. Nakumbuka jamaa mmoja pale Kibaha alimzaba mbwa kibao na kusema "mnatuharia dada zetu........." Masikini mbwa yule...........
Ule msemo wa akina dada wa "Hapendwi mtu......" wanaume waliupenda sana wakati huo na jibu likawa "........yeahhh, anapendwa Dog".
Pia miaka kama mitatu minne iliyopita kuna afisa ubalozi wa Saudia (tena ngazi ya chini kabisa) alimbaka housigeli akapiga makelele walinzi na some people waliokuwa around walishuhudia. Kilichoendelea yule jamaa adhabu yake ilikuwa ni kufukunzwa nchini. Hakuwahi kufikishwa hata ktuo cha polisi kuhojiwa.
Sasa ukiangalia huyo bwana Strauss na heshima ya licheo lake, na historia yake na pia future prospects sheria inafuata mkondo wake pingu kama kawaida, dhamana inagoma kama walalahoi and no complains from the public. Eti sijui anadhalilishwa.....