Unakumbuka hizi enzi hizo?

Unakumbuka hizi enzi hizo?

Yeah si ni kupumuliana tu bcs unampumulia mtoto mwenzako huku hujuwi kwa nini unafanya hivyo.

Yaani bi farkhina kumbe wewe ni mzoefu wa kuolewa? Nakuogopa bibie ila kalmati zako nazihusudu bado.

Hahahaah ile kuolewa ilikua uongo uongo saivi ya kweli lol.....kaimati zipo tele sema lini nkupikie lol mana weye ulipika uji wa kaimati

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Niliacha kucheza huu mchezo kabla ya kubalehe, ningebalehe kabla nadhani kuna ambao wangetoka na mimba
 
Hahahaah ile kuolewa ilikua uongo uongo saivi ya kweli lol.....kaimati zipo tele sema lini nkupikie lol mana weye ulipika uji wa kaimati

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums



Shhhhhhhh, watu wasisikie...eti uliolewa pale mtaani ukiwa na umri gani mpaka ukapigwa bakora? Kweli wazazi wako wanastahili sifa za kukutunza na kukupenda kwani walikuwa hawataki upate stress za ndoa at an early age ila walitaka tu usome na kuona maisha yakoje kabla ya kuhamua kuchukuliwa kiujumla na kuwa mpishi mzuri wa kaimati. Ila dada yangu haki ya Mungu unaniacha hoi....yaani najiuliza mpaka sasa ilikuwaje mpaka ukajitoa kimasomaso na kutaka kuolewa at that age mbona michezo ya kitoto iko mingi tu, kwa nini kuolewa? Ahaaaa farkhina unatisha dada yangu.
 
Last edited by a moderator:
Nimeiba sana mchele ndani tulikuwa tunagawana majukum kuna mtu ataiba kiberit wengine mchele wengine kuni. Sasa ukamatwe bwana!
 
Shhhhhhhh, watu wasisikie...eti uliolewa pale mtaani ukiwa na umri gani mpaka ukapigwa bakora? Kweli wazazi wako wanastahili sifa za kukutunza na kukupenda kwani walikuwa hawataki upate stress za ndoa at an early age ila walitaka tu usome na kuona maisha yakoje kabla ya kuhamua kuchukuliwa kiujumla na kuwa mpishi mzuri wa kaimati. Ila dada yangu haki ya Mungu unaniacha hoi....yaani najiuliza mpaka sasa ilikuwaje mpaka ukajitoa kimasomaso na kutaka kuolewa at that age mbona michezo ya kitoto iko mingi tu, kwa nini kuolewa? Ahaaaa farkhina unatisha dada yangu.

Ah nlikubali si mkicheza mnafanya harusi na kupika mapishi tele sasa mie nlikubali maana kuna kupodolewa na dada angu ndo alikua ndio mpambaji nlipendezaa ivooo lol mume wangu alikua cousin heeee anaitwa zahoor nkimuona najicheka lol utoto bhana

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Ah nlikubali si mkicheza mnafanya harusi na kupika mapishi tele sasa mie nlikubali maana kuna kupodolewa na dada angu ndo alikua ndio mpambaji nlipendezaa ivooo lol mume wangu alikua cousin heeee anaitwa zahoor nkimuona najicheka lol utoto bhana

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums


Utoto ni raha na nikikumbuka nalia kiutu uzima kwani wenzangu wengi walisha tangulia mbele ya haki huku wengine bado vijana. God bless!
 
Utoto ni raha na nikikumbuka nalia kiutu uzima kwani wenzangu wengi walisha tangulia mbele ya haki huku wengine bado vijana. God bless!

Mungu awalaze mahali pema...vipi ushaota mvi nkuletee super black au piko upakae lol

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Kujipikilisha,af inafwatia kombolela,"iki na dona na simtaka mdogo na kombolela lela jigija"
 
Mungu awalaze mahali pema...vipi ushaota mvi nkuletee super black au piko upakae lol

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums



Mvi bado sana kwani niko in my mid 30's na ninadai kinoma kwani nazingatia sana mazoezi na kula vizuri. Zile kaimati magumashi zangu zikipikwa nakula mbili tu kwa siku kwani sitaki samri ijae mwilini na kuota minyama uzembe.
 
10308125_10152362105442278_2914563102349289302_n.jpg

Kizazi cha sasa cha TOM AND JERRY Hawajui haya kabisa.
 
Mvi bado sana kwani niko in my mid 30's na ninadai kinoma kwani nazingatia sana mazoezi na kula vizuri. Zile kaimati magumashi zangu zikipikwa nakula mbili tu kwa siku kwani sitaki samri ijae mwilini na kuota minyama uzembe.

Heee basi wajipenda ati kiasi udai lol

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom