Unakumbuka hizi enzi hizo?

Unakumbuka hizi enzi hizo?

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,419
Reaction score
18,341
10308125_10152362105442278_2914563102349289302_n.jpg
 
Mbali sanaa.....natamani kua kama mtoto
 
Nakumbukaaaaa kabisa…nikichukua mchele jikoni kisha naupeleka unapika kama hivo….tukicheza kibaba na mama..
 
Kwetu tunaita kijungu nje......mie na dada angu tukiichukua vitu ndani tunaiba lol nyanya mchele mafuta tunapika mmoja anapika wali mmoja mchuzi halafu tunakula hahhahaha vinakua vitamu japo haviwivi lol....



Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Kwetu inaitwa mchezo wa baba na mama kwani baada ya kula mnalala na kuanza kupumuliana wakati mmoja akiwa juu ya tumbo la mwenziwe. Ukifika miaka 15 tu unaanza sasa kujishughulisha kisawasawa na vicheche wa mjini au Dodoma kwa dada zake Le Mutuz!
 
Kwetu inaitwa mchezo wa baba na mama kwani baada ya kula mnalala na kuanza kupumuliana wakati mmoja akiwa juu ya tumbo la mwenziwe. Ukifika miaka 15 tu unaanza sasa kujishughulisha kisawasawa na vicheche wa mjini au Dodoma kwa dada zake Le Mutuz!

Juu ya tumbo katika age hizo!!!!

Weee nakumbuka nyumbani ukiwa na michezo na watoto wa kiume unakula bakora kisawasawa.....kuna siku nlicheza nkawa bi harusi nkapodolewa mama aliposkia alikuja na bakora nlikoma

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Kibaba baba kimama mama duuuuu ninakovu mpaka leo niliungua na hako kamoto kakujipikilishia.
 
Ha ha ha kumbe na ww ukiiba vitu jikoni,na kupika na kula...tupo wengi wallah....mapishi tulianza zamani kweli

Naiba hasi nazi ilokunwa naenda pika cha nazi lol vilikua vinanuka moshi lakin unasamehe alichopuka mama wala mapyoro

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Kwetu tunaita kijungu nje......mie na dada angu tukiichukua vitu ndani tunaiba lol nyanya mchele mafuta tunapika mmoja anapika wali mmoja mchuzi halafu tunakula hahhahaha vinakua vitamu japo haviwivi lol....



Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
hehehe mi na dada yangu tushawahi kupika wali,mama aliporudi akaanza "nani kawaruhusu?tulichapwa na wali ulikuwa hauliki,....hehehehe namkumbuka my sister (love u my sister)
 
Kibaba baba kimama mama duuuuu ninakovu mpaka leo niliungua na hako kamoto kakujipikilishia.
na makovu wengi wamepata kwenye haya mambo
 
Juu ya tumbo katika age hizo!!!!

Weee nakumbuka nyumbani ukiwa na michezo na watoto wa kiume unakula bakora kisawasawa.....kuna siku nlicheza nkawa bi harusi nkapodolewa mama aliposkia alikuja na bakora nlikoma

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums



Yeah si ni kupumuliana tu bcs unampumulia mtoto mwenzako huku hujuwi kwa nini unafanya hivyo.

Yaani bi farkhina kumbe wewe ni mzoefu wa kuolewa? Nakuogopa bibie ila kalmati zako nazihusudu bado.
 
Last edited by a moderator:
Naiba hasi nazi ilokunwa naenda pika cha nazi lol vilikua vinanuka moshi lakin unasamehe alichopuka mama wala mapyoro

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

Kilikuwa kitamu balaa ha ha ha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom