Unakubalije kuwa mwalimu?

Unakubalije kuwa mwalimu?

Walimu mnapenda kulalamika sana utafikiri nyie ndio sekta yenye tabu na masimango sana wakati nyie ndio sekta yenye off time ya kutosha ya kufanya mambo mengine

SHAME!
Mi sio mwalimu kwa sasa , ndugu jasusi eli cohen.ila niliwahi kuwa na mpk sasa bado naona kwa ndugu na marafiki jinsi ambavyo hii kada haijabadilika. The worst ever, ukitaka professional poverty ingia kwenye ualimu.
 
Mi sio mwalimu kwa sasa , ndugu jasusi eli cohen.ila niliwahi kuwa na mpk sasa bado naona kwa ndugu na marafiki jinsi ambavyo hii kada haijabadilika. The worst ever, ukitaka professional poverty ingoa kwenye ualimu.
Haahha professional poverty au sio 😁
 
Inalipa uzeeni huku mwanzo hutoona matunda ila ukishastaafu ndio utaona neema zake, vumilivu hula mbivu
Acha kuwatia moyo walimu wewe zereminus10, ualimu ni kuteseka from day q mpk siku unaingia kaburini
 
Acha kuwatia moyo walimu wewe zereminus10, ualimu ni kuteseka from day q mpk siku unaingia kaburini
Ualimu una umuhimu kuna wenzio wakina nani yule wamecheza na chama cha kijani wamepewa ukatibu mkuu mtu alikua mwalimu shule ya msingi magomeni kagera
 
Back
Top Bottom