Unakikumbuka kikosi hiki?

Mkuu GC unaikumbuka mechi ya fainali ya UCL ya mwaka 200 lakini kati ya Real madrid na Valencia pale Stade de France...Valencia alipata kipigo cha mbwa mwizi aisee,bao 3-0..Vikosi vya gemu hiyo vilikuwa hivi:

Real Madrid
1.Iker Casillas
2.Michel Salgado
3.Roberto Carlos
4.Aitor Karanka
5.Ivan Campo(manywele)
6.Ivan Helguera
7.Steve McManaman
8.Fernando Redondo(Nahodha)
9.Fernando Morientes
10.Raul Gonzalez
11.Nicolas Anelka

Valencia
1.Santiago Canizares
2.Jocelyn Angloma
3.Gerardo Garcia
4.Mauricio Pellegrino
5.Miroslav Ducik
6.Javier Farinos
7.Gaizka Mendieta(Nahodha)
8.Gerard Lopez
9.Miguel Angel Angulo
10.Claudio Lopez
11.Kily Gonzalez

Valencia walidebweda sana siku hiyo...Magoli ya vifaa Madrid yalifungwa na Morientes,McManaman na Raul

Huyo Redondo alikuwa balaa. Unakumbuka lile tobo alilompiga beki wa Man U? Ile mecho mashetani wekundi kamwe hawataisahau!
 
Hivi Deportivo La Coruna wamefilia wapi hawa??maana walikuwa na miiba kama akina Diego Tristan,Walter Pandian na Juan Fran,walikuwa wanatisha sana hawa jamaa aisee
 
Mbona sioni jina la kiungo Pablo Aimar?

Ni lazima niombe msamaha hapa kwa kweli,maana ni dhambi kuitaja Valencia yenye mafanikio bila ya kumuweka kiungo mwenye kipaji toka Argentina Pablo Aimar,Maradona mwenyewe alishamnyooshea mikono huyu bwana
 
Huyo Redondo alikuwa balaa. Unakumbuka lile tobo alilompiga beki wa Man U? Ile mecho mashetani wekundi kamwe hawataisahau!

Man U hawaisahau hii mechi(hasa Barthez),wanawakumbuka vizuri sana Ronaldo(de Lilma) na Raul....Ile tobo naikumbuka sana aisee...Redondo alikuwa mashine baba,ndo maana hata alipoenda AC Milan siku karudi pale Bernabeau wakati R.Madrid wanakipiga na Milan Redondo alipokelewa kama mfalme,uwanja mzima ulipagawa kumuona mwanao akirudi nyumbani
 
Teh teh deportivo chini ya kocha Iruletta ilikuwa kama hivi...
Nuno
Manuel pablo
Capdevilla
Donato gama da silva
Naybet
Mauro silva
Fran
Djalminha
mackaay
Tristan
Pandiani...

Huyo donato ni mbrazil alikuwa mfupiii ila mipira ya vichwa ndo mwake.
Mauro silva alikuwa dimba la chini...
Atakumbukwa ktk fainali ya brazil na italy mwaka 1994 coz alipiga shuti kisha Pagliuca likamtoka then likaenda kugonga nguzo kisha pagliuca akaudaka tena mpira.
Baada ya hapo pagliuca akaenda kuubusu mlingoti
 
Hivi Deportivo La Coruna wamefilia wapi hawa??maana walikuwa na miiba kama akina Diego Tristan,Walter Pandian na Juan Fran,walikuwa wanatisha sana hawa jamaa aisee

Yep walikuwa noma kama Bayer Leverkusen ilivyokuwa enzi za kina Ballack na Ze Roberto!
 
Yep walikuwa noma kama Bayer Leverkusen ilivyokuwa enzi za kina Ballack na Ze Roberto!

Hiyo leverkusen ilikuwa na mbavu ya kushoto akiitwa Placente, dogo alikuwa ni muargentina, lamelow alikuwa anamaliza na Lucio, kuna mturuki alikuwa anacheza namba kumi akiitwa Yirdilay Basturk....ila nao walikuja na kupotea kama ushuzi
 
Katika ukurasa hii kila mzalendo atakuwa na haki ya kutukumbusha kikosi cha timu na akumbushe pia ni tukio gani lililopelekea asikisahau kikosi hicho.

Kwa kuanzia basi naanza na kikosi cha Gor Mahia toka Kenya.
Kikosi ambacho kilifuta uteja kwa wababe wao enzi hizo timu ya FC Leopard...

1) Dan Odhiambo
2) Thobias Ocholla ''jua kali''
3) Peter otieno ''Basanga''
4) John Bobby Ogolla
5) Austin Oduor
6) Abbas Khamis Magongo
7) John Okelo ''Zangi''
8) Sammy Owino ''Kempes''
9) William Ouma Chege
10) George Onyango ''Fundi''
11) Sammy Onyango ''Jogoo''

Sahihisho

Kama nipo sahihi zaidi,Gabriel Orang ndiye aliitwa Jua Kali kutokana na kipara chake kichwani
 
Martin
Kelly
Harte
Dubery
Radebe
Dacourt
Bowyer
Butt
Kiduka
Smith
Kewell

Sasa hivi hata sijui hii timu iko daraja gani...aliyebaki ni Bowyer peke yake ndo mjeuri...
 
1-Dan Poka
2-Yusufu Mbwene
3-Jumanne Mnubi
4-John Chale
5-Hakimu Byemba(Africa)
6-Godfrey Mngodo
7-Omari Mgeni
8-Hamisi Kamungu
9-Abasi Mturi(Nyuki)
10-Kulwa chale
11-John Simfukwe(Mawazo Nelson)
????????? AHHH
 
Katika ukurasa hii kila mzalendo atakuwa na haki ya kutukumbusha kikosi cha timu na akumbushe pia ni tukio gani lililopelekea asikisahau kikosi hicho.

Kwa kuanzia basi naanza na kikosi cha Gor Mahia toka Kenya.
Kikosi ambacho kilifuta uteja kwa wababe wao enzi hizo timu ya FC Leopard...

1) Dan Odhiambo
2) Thobias Ocholla ''jua kali''
3) Peter otieno ''Basanga''
4) John Bobby Ogolla
5) Austin Oduor
6) Abbas Khamis Magongo
7) John Okelo ''Zangi''
8) Sammy Owino ''Kempes''
9) William Ouma Chege
10) George Onyango ''Fundi''
11) Sammy Onyango ''Jogoo''

duh hiki kikosi kilikuwa cha kikabila nini - maana wote wajaluo watupu -- Odhiambo, Otieno, Onyango, Owino........

Sijajua kocha wao nafikiri naye alianza na O.....

Ukitaja cha FC - Leopards ukitaja kitakuwa cha wakikuyu watupu.....
 
1-Juma Pondamali
2-Leopard Taso Mukebenzi
3-Mohamed Kajole(Machela)
4-Salim Amir(Mtaalam)
5-Jellah Mutagwa
6-Mohamed Rashid(Adolf Rishard)
7-Omari Hussein(Keegan)
8-Hussein Ngurungu
9-Peter Tino
10-Mohamed Salim
11-Thuweni Ally
 
Hapa vipi napo?

1. Juma Pondamali "Mensah"
2. Mohamed Mkweche
3. Jaffar Abdulrahman
4. John Faya
5. Jellah Mtagwa
6. Mohamed Yahya "Tostao"
7. Godian Mapango
8. Hussein Ngulungu
9. Agustino Peter " Peter Tino"
10. Ibrahim Kiswabi
11. Juma Bomba
 
Hapa vipi napo?

1. Juma Pondamali "Mensah"
2. Mohamed Mkweche
3. Jaffar Abdulrahman
4. John Faya
5. Jellah Mtagwa
6. Mohamed Yahya "Tostao"
7. Godian Mapango
8. Hussein Ngulungu
9. Agustino Peter " Peter Tino"
10. Ibrahim Kiswabi
11. Juma Bomba
hapo kumi na moja kuna Abdallah Burhani
 
1.Giovanni Gali
2.Mauro Tassotti
3.Paolo Maldini
4.Alessandro Costacurta
5.Franco Baresi
6.Angelo Colombo
7.Carlo Ancelotti
8.Frank Rijkaard
9.Marco van Basten
10. Ruud Gullit
11.Alberigo Evani
 
1.Giovanni Gali
2.Mauro Tassotti
3.Paolo Maldini
4.Alessandro Costacurta
5.Franco Baresi
6.Angelo Colombo
7.Carlo Ancelotti
8.Frank Rijkaard
9.Marco van Basten
10. Ruud Gullit
11.Alberigo Evani

Forza Barantanda
Sempre Barantanda
 
Unakikumbuka hiki????

Khamis Kinye
Yusuf Ismail Bana
Fred Felix Minziro
Allan Shomari
Athman Juma Chama
Isihaka Hassan Chukwu
Omar Hussein Keegan
Elisha John
Makumbi Juma Homa ya jiji
Abeid Mziba
Hussein Idd
 
Je Wadau Mnaikumbuka hii list ya Reli Kutoka Morogoro AKA Kigogo ya Vigogo!!!!

1.Authamni Msumali/Duncan Mwamba
2.Mohamed Mtono
3Abdallah Mkali
4. Gasper Lupindo
5.Fikiri Magoso/Habibu Kondo
6.Boniface Njohole
7.Juma Salum
8.Christopher Micheal
9.Duncan Butinini
10.Peter Mjata/ David Mihambo
11.Mbui Yondani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom