Jambazi sugu aliyetawala soka la Kenya

Jumannnne

JF-Expert Member
Oct 14, 2019
667
2,001
Alikuwa na miaka 37 tu wakati wa kifo chake, miaka 16 baada ya Rais Kenyatta kumfungulia ili aokoe Stars.


KATIKA historia ya soka la Kenya inayoanzia miaka ya 1970 kumekuwa na wanasoka wengi walioingia dimbani wakakipiga balaa. Uhatari wao ulitishwa. Kwa moyo wao wote mashujaa hao waliitetea bendera ya Kenya.

Tairus ‘Tairero’ Omondi, Dan Miswa, Jaffer Mwidau, Abbas Magongo, Anthony Ndolo, John ‘Zangi’ Okello, Charles Otieno, Sammy ‘Jogoo’ Onyango, Ben Oloo, Hezron Kissinger, Abdalla Shebe, Ahmed Shero, Hesbon Omollo na Joe Kadenge (wote marehemu). David ‘Kamoga’ Ochieng, Henry Motego, Austin ‘Makamu’ Oduor, Peter ‘Bassanga’ Otieno, Mahmoud Abbas, Tobias ‘Jua Kali’ Ocholla, George ‘Fundi’ Onyango, Isaiah ‘Janabi’ Omondi na Peter Dawo ni majina ambayo yanapotajwa soka la Kenya inatabasamu.

Lakini katika miaka ya 1970 na 1980 soka la Kenya lilipokuwa linatawala Afrika Mashariki na Kati kulikuwa na mtu mmoja ambaye hatajwi sana, lakini naye alikuwa ni roho ya timu.

Katika moja ya kurasa za kitabu cha ‘ The Life of a Football Legend’ kilichoandikwa na mwanahabari nguli wa nchi hiyo, John Nene, gwiji wa zamani wa soka la Kenya, Joe Kadenge anasimulia maisha ya nyota wa zamani wa Gor Mahia, Nicodemus Arudhi. Huyu alikuwa na sura mbili. Alikuwa na majina mengi pia. Kwa mujibu wa rekodi za 981 kutoka magereza mbalimbali nchini humo, Arudhi aliitwa David Odhiambo, mtoto wa Nicodemus au Daniel Odhiambo au Daniel Nicodemus.

Nyota huyo ambaye aliitumikia Harambee Stars wakati fulani alikuwa kipenzi cha mashabiki na wachezaji wenzake. Aliichezea Stars mara tatu tu dhidi ya Togo, Mali na Cameroon, katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika 1972.

Arudhi, kama alivyofahamika na wengi hakuwa mchezaji tu, alikuwa na maisha mengine nje ya uwanja. Mwanasoka huyo aliyezaliwa 1944 mbali na ufundi aliouonyesha mchana uwanjani, giza lilipoingia aligeukia ujambazi. Nje ya soka, Arudhi alikuwa ni jambazi sugu aliyetumia silaha hatari kuwadhulumu wakazi wa Nairobi mali zao. Uwanjani alihofiwa sana na mabeki, lakini matukio ya usiku yalimfanya kuwa mmoja wa watu waliotafutwa zaidi na Polisi katika miaka ya 1990. Baba yake alijulikana kwa jina la Nicodemus Awidhi Arudhi. Familia hii ilijaaliwa vipaji viwili; muziki na soka, lakini Arudhi historia inaonyesha alitumia muda mwingi jela kuliko aliokaa huru.

Marafiki walijua

Hakuna aliyejua kuhusu, sura ya pili aliyojivika Arudhi. Viongozi wa soka, kocha wake na wananchi hawakujua, lakini marafiki zake wa karibu walijua. Wachezaji wenzake walijua kila kitu kuhusu maisha ya siri na hatari. Kama anavyothibitisha Kadenge kwenye kitabu chake, katika wakati ambapo wachezaji walichezea posho na vijizawadi na sio mishahara minono kama ilivyo sasa, Arudhi alionekana na pesa nyingi. Alivaa mavazi ya thamani, alikuwa na koti la thamani la ngozi. “Alikuwa na pesa nyingi. Alivaa nguo za thamani, alikuwa na koti zuri la dhahabu, aakati ambapo wengine walisafiri kwa basi, yeye alikuwa na kawaida ya kupanda gari za kukodi (taxi) za kifahari.”

Marafiki zake, licha ya kuona utofauti mkubwa ikiwemo kuwa mtu wa kukaa pekee yake na wakati mwingine kuonekana na bastola hawakuwa tayari kuongea. Kuna kipindi inadaiwa aliiba suti kwenye duka moja jijini Paris, Ufaransa mwaka 1976.

Kuchezea Harambee

Arudhi ambaye jina lake halisi ni Daniel Odhiambo alianza kuichezea timu ya taifa akiwa na miaka 20, silaha yake kubwa ikiwa ni nguvu ya miguu ya kupiga mashuti na kasi. Licha ya kaka yake pia kuwahi kuichezea Stars, jina la Arudhi lilipata umaarufu zaidi.

Kwenye ligi, Nicodemus Arudhi aliichezea Luo Union baada ya timu yake hiyo, alijiunga na Luo Stars, Februari 17, 1968, matokeo yake Gor Mahia ikazaliwa. Kwa mashabiki, Arudhi alikuwa zaidi ya mchezaji. Kwa Gor Mahia alikuwa ni ‘Joe Kadenge’ wao.

Kwa mujibu wa rekodi za Shirikisho la Soka duniani (Fifa), Arudhi aliichezea Harambee Stars mara tatu dhidi ya Togo, Mali na Cameroon kwenye Kombe la Afrika (1972. Japo alicheza kwenye mchezo wa Ghana, sambamba na Ouma Chege, Arudhi aliwanyanyasa mabeki atakavyo. Ndiye aliyefunga bao pekee lililoipatia Harambee ushindi dhidi ya Mali katika mchezo mkali wa Afrika uliopigwa Februari 26, 1972 akiwa na miaka 28 wakati huo.

Kenyatta amtoa Jela

Hata hivyo, maisha yake ya uhalifu hayakuzuia kuiteka mioyo ya wana Gor Mahia. Miguu ya Nicodemus Arudhi iliiteka mioyo ya mashabiki wa soka nchini humo akiwemo Rais wa kwanza wa Kenya, Jomo Kenyatta. Ni kawaida kwa Rais akiongozwa na sheria za nchi kuwaachia huru wafungwa, lakini kilichofanyika kwa Arudhi haikuwa kurudishiwa uhuru wake, bali kuwekwa huru kwa sababu maalumu. Mwaka 1965, Kenya ilikuwa na mchezo muhimu dhidi ya Ghana ulipiogwa Uwanja wa Nyayo na kutokana na uzito wa mchezo, Rais Kenyatta alitoa amri kwa mkuu wa Gereza la Kamiti kumuachia huru mfungwa huyo kwa ajili ya kuichezea Harambee.

Arudhi alipewa msamaha wa siku moja. Uwanja wa City ulizingirwa na askari wa magereza, ishara kuwa kuna mfungwa uwanjani. Hakumuangusha Rais, alifunga bao la kusawazisha, mchezo ukamalizika kwa sare ya 1-1. Baada ya mchezo alirudishwa gerezani. Baadaye sana aliachiwa huru alipomaliza kifungo.

Kifo chake

Mhalifu huyu mzoefu hakuwahi kuacha kazi yake ya ujambazi. Juni 21, 1981 inadaiwa kuwa Arudhi alijisalimisha polisi huku akiahidi kuwapeleka alikoficha bunduki. Hata hivyo, walipofika katika eneo husika aliamua kutimua mbio.

Hakufika mbali, walimpiga risasi. Katika maelezo yao inadaiwa kuwa polisi walisema walipata silaha nyumbani kwa nyota huyo wa zamani wa Gor Mahia. Simulizi hiyo haingii kichwani kwa sababu mara kwa mara Arudhi alikuwa ndani (nyumbani) na nje ilikuwa ni jela mbalimbali nchini.

Kwa sababu alikuwa mtu hatari aliyetafutwa na polisi kuna wakati alikamatwa kwa shtaka la mauaji. Kwa maana hiyo, ni ngumu kwa mtu kama huyo kuhifadhi silaha nyumbani kwake. Miaka 20 ya kucheza soka la uhakika na ujambazi wa kutisha ilimalizwa kwa risasi.

Alikuwa na miaka 37 tu wakati wa kifo chake. Miaka 16 baada ya Rais Kenyatta kumfungulia ili aokoe jahazi la Harambee, Arudhi alipoteza uhai wake mtaani Shauri Moyo katika usiku wa giza. Inadaiwa alipigwa risasi mgongoni na askari.

Chanzo Mwanaspoti Kenya.
 
Huyu mhuni waliamua kumtanguliza mbele za haki makusudi kwa kusingizia alikuwa anatoroka kwa kukimbia kumbe uongo mtupu bali askari walichoshwa na matukio yake
 
Alikuwa na miaka 37 tu wakati wa kifo chake, miaka 16 baada ya Rais Kenyatta kumfungulia ili aokoe Stars.


KATIKA historia ya soka la Kenya inayoanzia miaka ya 1970 kumekuwa na wanasoka wengi walioingia dimbani wakakipiga balaa. Uhatari wao ulitishwa. Kwa moyo wao wote mashujaa hao waliitetea bendera ya Kenya.

Tairus ‘Tairero’ Omondi, Dan Miswa, Jaffer Mwidau, Abbas Magongo, Anthony Ndolo, John ‘Zangi’ Okello, Charles Otieno, Sammy ‘Jogoo’ Onyango, Ben Oloo, Hezron Kissinger, Abdalla Shebe, Ahmed Shero, Hesbon Omollo na Joe Kadenge (wote marehemu). David ‘Kamoga’ Ochieng, Henry Motego, Austin ‘Makamu’ Oduor, Peter ‘Bassanga’ Otieno, Mahmoud Abbas, Tobias ‘Jua Kali’ Ocholla, George ‘Fundi’ Onyango, Isaiah ‘Janabi’ Omondi na Peter Dawo ni majina ambayo yanapotajwa soka la Kenya inatabasamu.

Lakini katika miaka ya 1970 na 1980 soka la Kenya lilipokuwa linatawala Afrika Mashariki na Kati kulikuwa na mtu mmoja ambaye hatajwi sana, lakini naye alikuwa ni roho ya timu.

Katika moja ya kurasa za kitabu cha ‘ The Life of a Football Legend’ kilichoandikwa na mwanahabari nguli wa nchi hiyo, John Nene, gwiji wa zamani wa soka la Kenya, Joe Kadenge anasimulia maisha ya nyota wa zamani wa Gor Mahia, Nicodemus Arudhi. Huyu alikuwa na sura mbili. Alikuwa na majina mengi pia. Kwa mujibu wa rekodi za 981 kutoka magereza mbalimbali nchini humo, Arudhi aliitwa David Odhiambo, mtoto wa Nicodemus au Daniel Odhiambo au Daniel Nicodemus.

Nyota huyo ambaye aliitumikia Harambee Stars wakati fulani alikuwa kipenzi cha mashabiki na wachezaji wenzake. Aliichezea Stars mara tatu tu dhidi ya Togo, Mali na Cameroon, katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika 1972.

Arudhi, kama alivyofahamika na wengi hakuwa mchezaji tu, alikuwa na maisha mengine nje ya uwanja. Mwanasoka huyo aliyezaliwa 1944 mbali na ufundi aliouonyesha mchana uwanjani, giza lilipoingia aligeukia ujambazi. Nje ya soka, Arudhi alikuwa ni jambazi sugu aliyetumia silaha hatari kuwadhulumu wakazi wa Nairobi mali zao. Uwanjani alihofiwa sana na mabeki, lakini matukio ya usiku yalimfanya kuwa mmoja wa watu waliotafutwa zaidi na Polisi katika miaka ya 1990. Baba yake alijulikana kwa jina la Nicodemus Awidhi Arudhi. Familia hii ilijaaliwa vipaji viwili; muziki na soka, lakini Arudhi historia inaonyesha alitumia muda mwingi jela kuliko aliokaa huru.

Marafiki walijua

Hakuna aliyejua kuhusu, sura ya pili aliyojivika Arudhi. Viongozi wa soka, kocha wake na wananchi hawakujua, lakini marafiki zake wa karibu walijua. Wachezaji wenzake walijua kila kitu kuhusu maisha ya siri na hatari. Kama anavyothibitisha Kadenge kwenye kitabu chake, katika wakati ambapo wachezaji walichezea posho na vijizawadi na sio mishahara minono kama ilivyo sasa, Arudhi alionekana na pesa nyingi. Alivaa mavazi ya thamani, alikuwa na koti la thamani la ngozi. “Alikuwa na pesa nyingi. Alivaa nguo za thamani, alikuwa na koti zuri la dhahabu, aakati ambapo wengine walisafiri kwa basi, yeye alikuwa na kawaida ya kupanda gari za kukodi (taxi) za kifahari.”

Marafiki zake, licha ya kuona utofauti mkubwa ikiwemo kuwa mtu wa kukaa pekee yake na wakati mwingine kuonekana na bastola hawakuwa tayari kuongea. Kuna kipindi inadaiwa aliiba suti kwenye duka moja jijini Paris, Ufaransa mwaka 1976.

Kuchezea Harambee

Arudhi ambaye jina lake halisi ni Daniel Odhiambo alianza kuichezea timu ya taifa akiwa na miaka 20, silaha yake kubwa ikiwa ni nguvu ya miguu ya kupiga mashuti na kasi. Licha ya kaka yake pia kuwahi kuichezea Stars, jina la Arudhi lilipata umaarufu zaidi.

Kwenye ligi, Nicodemus Arudhi aliichezea Luo Union baada ya timu yake hiyo, alijiunga na Luo Stars, Februari 17, 1968, matokeo yake Gor Mahia ikazaliwa. Kwa mashabiki, Arudhi alikuwa zaidi ya mchezaji. Kwa Gor Mahia alikuwa ni ‘Joe Kadenge’ wao.

Kwa mujibu wa rekodi za Shirikisho la Soka duniani (Fifa), Arudhi aliichezea Harambee Stars mara tatu dhidi ya Togo, Mali na Cameroon kwenye Kombe la Afrika (1972. Japo alicheza kwenye mchezo wa Ghana, sambamba na Ouma Chege, Arudhi aliwanyanyasa mabeki atakavyo. Ndiye aliyefunga bao pekee lililoipatia Harambee ushindi dhidi ya Mali katika mchezo mkali wa Afrika uliopigwa Februari 26, 1972 akiwa na miaka 28 wakati huo.

Kenyatta amtoa Jela

Hata hivyo, maisha yake ya uhalifu hayakuzuia kuiteka mioyo ya wana Gor Mahia. Miguu ya Nicodemus Arudhi iliiteka mioyo ya mashabiki wa soka nchini humo akiwemo Rais wa kwanza wa Kenya, Jomo Kenyatta. Ni kawaida kwa Rais akiongozwa na sheria za nchi kuwaachia huru wafungwa, lakini kilichofanyika kwa Arudhi haikuwa kurudishiwa uhuru wake, bali kuwekwa huru kwa sababu maalumu. Mwaka 1965, Kenya ilikuwa na mchezo muhimu dhidi ya Ghana ulipiogwa Uwanja wa Nyayo na kutokana na uzito wa mchezo, Rais Kenyatta alitoa amri kwa mkuu wa Gereza la Kamiti kumuachia huru mfungwa huyo kwa ajili ya kuichezea Harambee.

Arudhi alipewa msamaha wa siku moja. Uwanja wa City ulizingirwa na askari wa magereza, ishara kuwa kuna mfungwa uwanjani. Hakumuangusha Rais, alifunga bao la kusawazisha, mchezo ukamalizika kwa sare ya 1-1. Baada ya mchezo alirudishwa gerezani. Baadaye sana aliachiwa huru alipomaliza kifungo.

Kifo chake

Mhalifu huyu mzoefu hakuwahi kuacha kazi yake ya ujambazi. Juni 21, 1981 inadaiwa kuwa Arudhi alijisalimisha polisi huku akiahidi kuwapeleka alikoficha bunduki. Hata hivyo, walipofika katika eneo husika aliamua kutimua mbio.

Hakufika mbali, walimpiga risasi. Katika maelezo yao inadaiwa kuwa polisi walisema walipata silaha nyumbani kwa nyota huyo wa zamani wa Gor Mahia. Simulizi hiyo haingii kichwani kwa sababu mara kwa mara Arudhi alikuwa ndani (nyumbani) na nje ilikuwa ni jela mbalimbali nchini.

Kwa sababu alikuwa mtu hatari aliyetafutwa na polisi kuna wakati alikamatwa kwa shtaka la mauaji. Kwa maana hiyo, ni ngumu kwa mtu kama huyo kuhifadhi silaha nyumbani kwake. Miaka 20 ya kucheza soka la uhakika na ujambazi wa kutisha ilimalizwa kwa risasi.

Alikuwa na miaka 37 tu wakati wa kifo chake. Miaka 16 baada ya Rais Kenyatta kumfungulia ili aokoe jahazi la Harambee, Arudhi alipoteza uhai wake mtaani Shauri Moyo katika usiku wa giza. Inadaiwa alipigwa risasi mgongoni na askari.

Chanzo Mwanaspoti Kenya.
Picha
 
Huyu mhuni waliamua kumtanguliza mbele za haki makusudi kwa kusingizia alikuwa anatoroka kwa kukimbia kumbe uongo mtupu bali askari walichoshwa na matukio yake
Walikwambia kimbia halafu wakatandika cha moto
 
Alikuwa na miaka 37 tu wakati wa kifo chake, miaka 16 baada ya Rais Kenyatta kumfungulia ili aokoe Stars.


KATIKA historia ya soka la Kenya inayoanzia miaka ya 1970 kumekuwa na wanasoka wengi walioingia dimbani wakakipiga balaa. Uhatari wao ulitishwa. Kwa moyo wao wote mashujaa hao waliitetea bendera ya Kenya.

Tairus ‘Tairero’ Omondi, Dan Miswa, Jaffer Mwidau, Abbas Magongo, Anthony Ndolo, John ‘Zangi’ Okello, Charles Otieno, Sammy ‘Jogoo’ Onyango, Ben Oloo, Hezron Kissinger, Abdalla Shebe, Ahmed Shero, Hesbon Omollo na Joe Kadenge (wote marehemu). David ‘Kamoga’ Ochieng, Henry Motego, Austin ‘Makamu’ Oduor, Peter ‘Bassanga’ Otieno, Mahmoud Abbas, Tobias ‘Jua Kali’ Ocholla, George ‘Fundi’ Onyango, Isaiah ‘Janabi’ Omondi na Peter Dawo ni majina ambayo yanapotajwa soka la Kenya inatabasamu.

Lakini katika miaka ya 1970 na 1980 soka la Kenya lilipokuwa linatawala Afrika Mashariki na Kati kulikuwa na mtu mmoja ambaye hatajwi sana, lakini naye alikuwa ni roho ya timu.

Katika moja ya kurasa za kitabu cha ‘ The Life of a Football Legend’ kilichoandikwa na mwanahabari nguli wa nchi hiyo, John Nene, gwiji wa zamani wa soka la Kenya, Joe Kadenge anasimulia maisha ya nyota wa zamani wa Gor Mahia, Nicodemus Arudhi. Huyu alikuwa na sura mbili. Alikuwa na majina mengi pia. Kwa mujibu wa rekodi za 981 kutoka magereza mbalimbali nchini humo, Arudhi aliitwa David Odhiambo, mtoto wa Nicodemus au Daniel Odhiambo au Daniel Nicodemus.

Nyota huyo ambaye aliitumikia Harambee Stars wakati fulani alikuwa kipenzi cha mashabiki na wachezaji wenzake. Aliichezea Stars mara tatu tu dhidi ya Togo, Mali na Cameroon, katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika 1972.

Arudhi, kama alivyofahamika na wengi hakuwa mchezaji tu, alikuwa na maisha mengine nje ya uwanja. Mwanasoka huyo aliyezaliwa 1944 mbali na ufundi aliouonyesha mchana uwanjani, giza lilipoingia aligeukia ujambazi. Nje ya soka, Arudhi alikuwa ni jambazi sugu aliyetumia silaha hatari kuwadhulumu wakazi wa Nairobi mali zao. Uwanjani alihofiwa sana na mabeki, lakini matukio ya usiku yalimfanya kuwa mmoja wa watu waliotafutwa zaidi na Polisi katika miaka ya 1990. Baba yake alijulikana kwa jina la Nicodemus Awidhi Arudhi. Familia hii ilijaaliwa vipaji viwili; muziki na soka, lakini Arudhi historia inaonyesha alitumia muda mwingi jela kuliko aliokaa huru.

Marafiki walijua

Hakuna aliyejua kuhusu, sura ya pili aliyojivika Arudhi. Viongozi wa soka, kocha wake na wananchi hawakujua, lakini marafiki zake wa karibu walijua. Wachezaji wenzake walijua kila kitu kuhusu maisha ya siri na hatari. Kama anavyothibitisha Kadenge kwenye kitabu chake, katika wakati ambapo wachezaji walichezea posho na vijizawadi na sio mishahara minono kama ilivyo sasa, Arudhi alionekana na pesa nyingi. Alivaa mavazi ya thamani, alikuwa na koti la thamani la ngozi. “Alikuwa na pesa nyingi. Alivaa nguo za thamani, alikuwa na koti zuri la dhahabu, aakati ambapo wengine walisafiri kwa basi, yeye alikuwa na kawaida ya kupanda gari za kukodi (taxi) za kifahari.”

Marafiki zake, licha ya kuona utofauti mkubwa ikiwemo kuwa mtu wa kukaa pekee yake na wakati mwingine kuonekana na bastola hawakuwa tayari kuongea. Kuna kipindi inadaiwa aliiba suti kwenye duka moja jijini Paris, Ufaransa mwaka 1976.

Kuchezea Harambee

Arudhi ambaye jina lake halisi ni Daniel Odhiambo alianza kuichezea timu ya taifa akiwa na miaka 20, silaha yake kubwa ikiwa ni nguvu ya miguu ya kupiga mashuti na kasi. Licha ya kaka yake pia kuwahi kuichezea Stars, jina la Arudhi lilipata umaarufu zaidi.

Kwenye ligi, Nicodemus Arudhi aliichezea Luo Union baada ya timu yake hiyo, alijiunga na Luo Stars, Februari 17, 1968, matokeo yake Gor Mahia ikazaliwa. Kwa mashabiki, Arudhi alikuwa zaidi ya mchezaji. Kwa Gor Mahia alikuwa ni ‘Joe Kadenge’ wao.

Kwa mujibu wa rekodi za Shirikisho la Soka duniani (Fifa), Arudhi aliichezea Harambee Stars mara tatu dhidi ya Togo, Mali na Cameroon kwenye Kombe la Afrika (1972. Japo alicheza kwenye mchezo wa Ghana, sambamba na Ouma Chege, Arudhi aliwanyanyasa mabeki atakavyo. Ndiye aliyefunga bao pekee lililoipatia Harambee ushindi dhidi ya Mali katika mchezo mkali wa Afrika uliopigwa Februari 26, 1972 akiwa na miaka 28 wakati huo.

Kenyatta amtoa Jela

Hata hivyo, maisha yake ya uhalifu hayakuzuia kuiteka mioyo ya wana Gor Mahia. Miguu ya Nicodemus Arudhi iliiteka mioyo ya mashabiki wa soka nchini humo akiwemo Rais wa kwanza wa Kenya, Jomo Kenyatta. Ni kawaida kwa Rais akiongozwa na sheria za nchi kuwaachia huru wafungwa, lakini kilichofanyika kwa Arudhi haikuwa kurudishiwa uhuru wake, bali kuwekwa huru kwa sababu maalumu. Mwaka 1965, Kenya ilikuwa na mchezo muhimu dhidi ya Ghana ulipiogwa Uwanja wa Nyayo na kutokana na uzito wa mchezo, Rais Kenyatta alitoa amri kwa mkuu wa Gereza la Kamiti kumuachia huru mfungwa huyo kwa ajili ya kuichezea Harambee.

Arudhi alipewa msamaha wa siku moja. Uwanja wa City ulizingirwa na askari wa magereza, ishara kuwa kuna mfungwa uwanjani. Hakumuangusha Rais, alifunga bao la kusawazisha, mchezo ukamalizika kwa sare ya 1-1. Baada ya mchezo alirudishwa gerezani. Baadaye sana aliachiwa huru alipomaliza kifungo.

Kifo chake

Mhalifu huyu mzoefu hakuwahi kuacha kazi yake ya ujambazi. Juni 21, 1981 inadaiwa kuwa Arudhi alijisalimisha polisi huku akiahidi kuwapeleka alikoficha bunduki. Hata hivyo, walipofika katika eneo husika aliamua kutimua mbio.

Hakufika mbali, walimpiga risasi. Katika maelezo yao inadaiwa kuwa polisi walisema walipata silaha nyumbani kwa nyota huyo wa zamani wa Gor Mahia. Simulizi hiyo haingii kichwani kwa sababu mara kwa mara Arudhi alikuwa ndani (nyumbani) na nje ilikuwa ni jela mbalimbali nchini.

Kwa sababu alikuwa mtu hatari aliyetafutwa na polisi kuna wakati alikamatwa kwa shtaka la mauaji. Kwa maana hiyo, ni ngumu kwa mtu kama huyo kuhifadhi silaha nyumbani kwake. Miaka 20 ya kucheza soka la uhakika na ujambazi wa kutisha ilimalizwa kwa risasi.

Alikuwa na miaka 37 tu wakati wa kifo chake. Miaka 16 baada ya Rais Kenyatta kumfungulia ili aokoe jahazi la Harambee, Arudhi alipoteza uhai wake mtaani Shauri Moyo katika usiku wa giza. Inadaiwa alipigwa risasi mgongoni na askari.

Chanzo Mwanaspoti Kenya.

MAN IN THE NEWS; FROM DISGRACE TO HERO

By Thomas Rogers
July 12, 1982


Paolo Rossi, whose six goals in the final three games provided almost all the offense that Italy needed to win its third World Cup championship in Madrid yesterday, was not eligible to play soccer in Italy only nine weeks ago. He had been implicated in a betting scandal in 1980 and suspended for three years by the Italian Football Federation, even though he was not found guilty by Italian courts.
The scandal, considered the worst in Italian soccer history, involved charges of fraud against 33 major league players, three club presidents and two gamblers. The players were charged with taking bribes to fix games that benefited the gamblers. It was reported that one of Rossi's attorneys had offered hush money to a prosecution witness. Throughout, Rossi strongly insisted he was innocent.
Before the suspension, Rossi had been one of the world's highestpaid players, a speedy but fragile striker with the handsome looks of a matinee idol. He was vociferous with a persistent smile. After the suspension, he has been quiet, almost shy.
His suspension was conveniently ended in May as Italy was scoring only 11 goals in eight games while qualifying for the World Cup. Enzo Bearzot, the coach of the Italian team, said: ''Bringing him straight into the World Cup was a gamble, but in the two years he was out, I could find no one to replace him.''


''You cannot expect me to be the savior of Italian football,'' said the 25-year-old Rossi, who played only three league games and six cup games before Italy's first World Cup game June 14. ''Only a player like Pele would be capable of transforming a whole team. And I'm not Pele. I will face 1,000 difficulties because people will expect heaven-knows-what.''
But with his outstanding scoring feats in the last week, Rossi has gone from disgrace to national heroism. Signed at Age of 17


The 5-foot-8 1/2-inch, 146-pound offensive star was born on Sept. 23, 1956. He signed at the age of 17 with Juventus of Turin, one of Italy's finest teams. He was soon assigned to a second-division club where, after undergoing three knee operations by the age of 19, his talent blossomed and he led his new club into the first division.
He was then reacquired by Juventus for $2.9 million and given a contract believed to be worth about $400,000 a year in salary, plus endorsements.
''That was one of the many exaggerations about me,'' said Rossi. ''How can anyone be worth that much to play? The life of a man is priceless, but a player can't be worth that much.''

Rossi was held scoreless in Italy's first four matches in World Cup play. He was substituted for against Peru and held out of the final 20 minutes of Italy's 2-1 victory over Argentina on June 29 in the second stage of the tournament.
''Everyone expects miracles from me,'' he said. ''But I've been idle for two years, morally depressed for so long, and I have started the comeback only a few days ago. My morale is good and I feel psychologically ready. But you can't be fit with only a few games after two years of rest. In this condition, you can't expect me to solve all the problems of the Italian team.''
Rossi, however, began to solve some problems in his first game after being pulled out of the Argentina game. Against a strong Brazil team, he scored three goals in a 3-2 victory and then got two more as Italy eliminated Poland, 2-0, in a semifinal match. Yesterday he broke a scoreless tie against West Germany that started the Italians on the way to a 3-1 triumph and the World Cup.
''Rossi has a sense of smell for the goal that I've almost never seen,'' Udo Lattek, the coach of El Barca of Barcelona, one of Europe's most prestigious clubs, said last week.


Source : The New York Times Archives
 
Alikuwa na miaka 37 tu wakati wa kifo chake, miaka 16 baada ya Rais Kenyatta kumfungulia ili aokoe Stars.


KATIKA historia ya soka la Kenya inayoanzia miaka ya 1970 kumekuwa na wanasoka wengi walioingia dimbani wakakipiga balaa. Uhatari wao ulitishwa. Kwa moyo wao wote mashujaa hao waliitetea bendera ya Kenya.

Tairus ‘Tairero’ Omondi, Dan Miswa, Jaffer Mwidau, Abbas Magongo, Anthony Ndolo, John ‘Zangi’ Okello, Charles Otieno, Sammy ‘Jogoo’ Onyango, Ben Oloo, Hezron Kissinger, Abdalla Shebe, Ahmed Shero, Hesbon Omollo na Joe Kadenge (wote marehemu). David ‘Kamoga’ Ochieng, Henry Motego, Austin ‘Makamu’ Oduor, Peter ‘Bassanga’ Otieno, Mahmoud Abbas, Tobias ‘Jua Kali’ Ocholla, George ‘Fundi’ Onyango, Isaiah ‘Janabi’ Omondi na Peter Dawo ni majina ambayo yanapotajwa soka la Kenya inatabasamu.

Lakini katika miaka ya 1970 na 1980 soka la Kenya lilipokuwa linatawala Afrika Mashariki na Kati kulikuwa na mtu mmoja ambaye hatajwi sana, lakini naye alikuwa ni roho ya timu.

Katika moja ya kurasa za kitabu cha ‘ The Life of a Football Legend’ kilichoandikwa na mwanahabari nguli wa nchi hiyo, John Nene, gwiji wa zamani wa soka la Kenya, Joe Kadenge anasimulia maisha ya nyota wa zamani wa Gor Mahia, Nicodemus Arudhi. Huyu alikuwa na sura mbili. Alikuwa na majina mengi pia. Kwa mujibu wa rekodi za 981 kutoka magereza mbalimbali nchini humo, Arudhi aliitwa David Odhiambo, mtoto wa Nicodemus au Daniel Odhiambo au Daniel Nicodemus.

Nyota huyo ambaye aliitumikia Harambee Stars wakati fulani alikuwa kipenzi cha mashabiki na wachezaji wenzake. Aliichezea Stars mara tatu tu dhidi ya Togo, Mali na Cameroon, katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika 1972.

Arudhi, kama alivyofahamika na wengi hakuwa mchezaji tu, alikuwa na maisha mengine nje ya uwanja. Mwanasoka huyo aliyezaliwa 1944 mbali na ufundi aliouonyesha mchana uwanjani, giza lilipoingia aligeukia ujambazi. Nje ya soka, Arudhi alikuwa ni jambazi sugu aliyetumia silaha hatari kuwadhulumu wakazi wa Nairobi mali zao. Uwanjani alihofiwa sana na mabeki, lakini matukio ya usiku yalimfanya kuwa mmoja wa watu waliotafutwa zaidi na Polisi katika miaka ya 1990. Baba yake alijulikana kwa jina la Nicodemus Awidhi Arudhi. Familia hii ilijaaliwa vipaji viwili; muziki na soka, lakini Arudhi historia inaonyesha alitumia muda mwingi jela kuliko aliokaa huru.

Marafiki walijua

Hakuna aliyejua kuhusu, sura ya pili aliyojivika Arudhi. Viongozi wa soka, kocha wake na wananchi hawakujua, lakini marafiki zake wa karibu walijua. Wachezaji wenzake walijua kila kitu kuhusu maisha ya siri na hatari. Kama anavyothibitisha Kadenge kwenye kitabu chake, katika wakati ambapo wachezaji walichezea posho na vijizawadi na sio mishahara minono kama ilivyo sasa, Arudhi alionekana na pesa nyingi. Alivaa mavazi ya thamani, alikuwa na koti la thamani la ngozi. “Alikuwa na pesa nyingi. Alivaa nguo za thamani, alikuwa na koti zuri la dhahabu, aakati ambapo wengine walisafiri kwa basi, yeye alikuwa na kawaida ya kupanda gari za kukodi (taxi) za kifahari.”

Marafiki zake, licha ya kuona utofauti mkubwa ikiwemo kuwa mtu wa kukaa pekee yake na wakati mwingine kuonekana na bastola hawakuwa tayari kuongea. Kuna kipindi inadaiwa aliiba suti kwenye duka moja jijini Paris, Ufaransa mwaka 1976.

Kuchezea Harambee

Arudhi ambaye jina lake halisi ni Daniel Odhiambo alianza kuichezea timu ya taifa akiwa na miaka 20, silaha yake kubwa ikiwa ni nguvu ya miguu ya kupiga mashuti na kasi. Licha ya kaka yake pia kuwahi kuichezea Stars, jina la Arudhi lilipata umaarufu zaidi.

Kwenye ligi, Nicodemus Arudhi aliichezea Luo Union baada ya timu yake hiyo, alijiunga na Luo Stars, Februari 17, 1968, matokeo yake Gor Mahia ikazaliwa. Kwa mashabiki, Arudhi alikuwa zaidi ya mchezaji. Kwa Gor Mahia alikuwa ni ‘Joe Kadenge’ wao.

Kwa mujibu wa rekodi za Shirikisho la Soka duniani (Fifa), Arudhi aliichezea Harambee Stars mara tatu dhidi ya Togo, Mali na Cameroon kwenye Kombe la Afrika (1972. Japo alicheza kwenye mchezo wa Ghana, sambamba na Ouma Chege, Arudhi aliwanyanyasa mabeki atakavyo. Ndiye aliyefunga bao pekee lililoipatia Harambee ushindi dhidi ya Mali katika mchezo mkali wa Afrika uliopigwa Februari 26, 1972 akiwa na miaka 28 wakati huo.

Kenyatta amtoa Jela

Hata hivyo, maisha yake ya uhalifu hayakuzuia kuiteka mioyo ya wana Gor Mahia. Miguu ya Nicodemus Arudhi iliiteka mioyo ya mashabiki wa soka nchini humo akiwemo Rais wa kwanza wa Kenya, Jomo Kenyatta. Ni kawaida kwa Rais akiongozwa na sheria za nchi kuwaachia huru wafungwa, lakini kilichofanyika kwa Arudhi haikuwa kurudishiwa uhuru wake, bali kuwekwa huru kwa sababu maalumu. Mwaka 1965, Kenya ilikuwa na mchezo muhimu dhidi ya Ghana ulipiogwa Uwanja wa Nyayo na kutokana na uzito wa mchezo, Rais Kenyatta alitoa amri kwa mkuu wa Gereza la Kamiti kumuachia huru mfungwa huyo kwa ajili ya kuichezea Harambee.

Arudhi alipewa msamaha wa siku moja. Uwanja wa City ulizingirwa na askari wa magereza, ishara kuwa kuna mfungwa uwanjani. Hakumuangusha Rais, alifunga bao la kusawazisha, mchezo ukamalizika kwa sare ya 1-1. Baada ya mchezo alirudishwa gerezani. Baadaye sana aliachiwa huru alipomaliza kifungo.

Kifo chake

Mhalifu huyu mzoefu hakuwahi kuacha kazi yake ya ujambazi. Juni 21, 1981 inadaiwa kuwa Arudhi alijisalimisha polisi huku akiahidi kuwapeleka alikoficha bunduki. Hata hivyo, walipofika katika eneo husika aliamua kutimua mbio.

Hakufika mbali, walimpiga risasi. Katika maelezo yao inadaiwa kuwa polisi walisema walipata silaha nyumbani kwa nyota huyo wa zamani wa Gor Mahia. Simulizi hiyo haingii kichwani kwa sababu mara kwa mara Arudhi alikuwa ndani (nyumbani) na nje ilikuwa ni jela mbalimbali nchini.

Kwa sababu alikuwa mtu hatari aliyetafutwa na polisi kuna wakati alikamatwa kwa shtaka la mauaji. Kwa maana hiyo, ni ngumu kwa mtu kama huyo kuhifadhi silaha nyumbani kwake. Miaka 20 ya kucheza soka la uhakika na ujambazi wa kutisha ilimalizwa kwa risasi.

Alikuwa na miaka 37 tu wakati wa kifo chake. Miaka 16 baada ya Rais Kenyatta kumfungulia ili aokoe jahazi la Harambee, Arudhi alipoteza uhai wake mtaani Shauri Moyo katika usiku wa giza. Inadaiwa alipigwa risasi mgongoni na askari.

Chanzo Mwanaspoti Kenya.

The Amazing Story of Italy's 1982 World Cup Hero Paolo Rossi

MATTEO BONETTIMAY 27, 2014

JUL 1982:  PAOLO ROSSI #20 OF ITALY IS HOUNDED BY PAUL BREITNER OF WEST GERMANY DURING THE ITALIANS 3-1 VICTORY IN THE 1982 WORLD CUP FINAL. Mandatory Credit: Tony Duffy/ALLSPORT

Tony Duffy/Getty Images
Paolo Rossi wasn't your typical striker. He wasn't the epitome of a modern-day No. 9, nor was he even considered as a champion before he made history. He was small, frail and lacked the technique that some other Italian heroes had.
Rossi began his footballing life with Juventus, but he wouldn't play a match with them until eight years after he was first signed. After undergoing three various knee operations in the early stages of his career, the striker born in Prato was loaned to Serie B side Como.
Only a year after that, he would go on to score 21 goals and help his new club, Vicenza, to Serie A promotion.

Jun 1985:  Portrait of Paolo Rossi the Italian Centre Forward during a Summer tour of Mexico.  \ Mandatory Credit: David  Cannon/Allsport

David Cannon/Getty Images

It was then that he started getting noticed as a potential option for the Italian national team. The successive season, he netted 24 times with Vicenza and became the first striker to be the Capocannoniere in the top two divisions in consecutive seasons, further showing his potential as a player who could make the difference in the top flight as well.
This fine domestic form led Enzo Bearzot to call him up to the Italian national team during the 1978 World Cup, where he went on to score three goals in the competition. It was the perfect experience for the event that would ensue four years later.
The events at the 1978 World Cup are hardly the main point of any Paolo Rossi story. It was what he would do later in his career that is still whispered about in quiet alleyways around Italy and throughout the world.
In 1980, Rossi found himself engulfed in the now-infamous scandal known as Totonero while he played for Perugia. The striker was suspended for three years from football but had his sentence shortened to two seasons instead. Rossi maintained his innocence throughout the ordeal.

Paolo Rossi Key Stats
TeamYearsGamesGoals
Vicenza1976-19809460
Juventus1981-19858324
Italy1977-19864820
Statszone
Shortly after, Rossi signed for Juventus and would be called up to the 1982 World Cup, much to the complaint of the media who said he was out of shape and simply not fit enough to be part of an Azzurri squad that wasn't expected to seriously challenge for the trophy.
During Italy's first three matches in the competition, Paolo Rossi was diabolical, wandering aimlessly around the pitch and not being an influence in any shape.

After Italy knocked out Argentina with a 2-1 victory, Rossi would go on to score one of the most memorable hat-tricks in history against a superior Brazilian side, as Italy triumphed 3-2 in that match that would go down as one of the most exciting in history.
Italy made it to the World Cup semifinals against Poland. In this match, the striker went on to net a brace, which was good enough to get the Azzurri to the finals where they'd face Germany.
In one of the most remarkable stories in football, Paolo Rossi, a striker who was only recently banned from football and hopelessly out of shape, went on to bravely carry a nation to glory as he managed to score the first goal in Italy's 3-1 win against Germany in the final.
With six goals in the entire competition, Paolo Rossi won the Golden Boot and went on to achieve superhuman status among Italians, and his career is still proudly boasted about.
Throughout his career, Rossi would score 20 goals in 48 total matches with the Italian senior side. He's one of those few players who will be remembered almost exclusively for his contributions in the World Cup rather than in the domestic league, where others make their fame.
It's one of the most remarkable stories in sports, and one that is made even more memorable by the fact that it happened during a tournament as prestigious as the World Cup.
Paolo Rossi became an Italian hero in the most unusual of circumstances. The Azzurri can only hope that this year someone will replicate this Italian legend and carry their country to the ultimate prize once again.

Source : HOME OF
WORLD FOOTBALL
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom