Unakikumbuka hiki kibwagizo???

Unakikumbuka hiki kibwagizo???

CharmingLady

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2012
Posts
18,304
Reaction score
12,997
Mganga wa tausi ni KA... Kalumanzila La.... Lala salama Ma.... Mama mzazi Zi.... Zizi la ng'ombe Mbe.... Mbele ya nyumba Mba.... Mbali na wewe We...............

Du nimesahau muendekezo....... malizia!!!!
 
hii utakua umecheza mitaa ipi tena...???
 
mie naifahamu hii hapa....
Wanaume wanapenda kum'a... kum'a... kumaliza shule
Wanawake wanapenda mbo... mbo... mboga za majani
 
Wembe wa kucha,,,cha,
chakula kitamu,,,mu
Mungu mkubwa ...bwa
 
Wembe wa kucha,,,cha,
chakula kitamu,,,mu
Mungu mkubwa ...bwa


......bwawa la samaki...... KI...... King Majuto....... TO.......... toto la paka.......... KA.......... kaka na babu........... BU.............. bubu hasemi ..........MI.......... mimi na wewe......... WE.......... wembe wa kucha......... CHA......... chakul................
 
mie naifahamu hii hapa....
Wanaume wanapenda kum'a... kum'a... kumaliza shule
Wanawake wanapenda mbo... mbo... mboga za majani

daddy kumbe umo ingawa huvumi lolest!!!!!!
 
......bwawa la samaki...... KI...... King Majuto....... TO.......... toto la paka.......... KA.......... kaka na babu........... BU.............. bubu hasemi ..........MI.......... mimi na wewe......... WE.......... wembe wa kucha......... CHA......... chakul................

teh teh.... my wii mbona umerudi kule kule?? kinatakiwa kuisha
 
Umebugi meeen Madame B..... hapo kwenye King Majuto To.... Tone la maji Ji.....

oh nimeasahau tena!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Nimekumbuka....
Ji... Jitu la kale Le.... Lenye madevu Vu.... Vumbua dhahabu Bu.... Bubu hasemi Mi....

Dah mbona narudi kule kule ??????
 
......bwawa la samaki...... KI...... King Majuto....... TO.......... toto la paka.......... KA.......... kaka na babu........... BU.............. bubu hasemi ..........MI.......... mimi na wewe......... WE.......... wembe wa kucha......... CHA......... chakul................


mimi mdogo,,,go
gogo la mti....ti
tina na mjuba...ba.
Baba wa kambo...mbo
mbona wanitesa...sa
sasa naondoka...ka.
Kaa peke yako...ko
koma kunipiga...ga
 
mimi mdogo,,,go
gogo la mti....ti
tina na mjuba...ba.

baridi kali... Li
lindi na vita... Ta
tausi ndege wangu, ndege wangu wa fahari, ndege umekwisha hali sasa wataka nini?.??
 
mimi mdogo,,,go
gogo la mti....ti
tina na mjuba...ba.
Baba wa kambo...mbo
mbona wanitesa...sa
sasa naondoka...ka.
Kaa peke yako...ko
koma kunipiga...ga

Ok... nilikuwa nshasahau... Duh una kumbukumbu lol!!!! Btw how r u my shem??
 
Kwa hiyo ndio unanitukana kijanja au?

Kwanza rudia kuimba ule mwimbo wako, uliokua unamuimbia mwanao, kwakua kuna wenzangu wengine wameshausahau! Then tutafanya majumuisho.
 
Back
Top Bottom