Unakijuwa hiki chakula gani? kisia hapo

Unakijuwa hiki chakula gani? kisia hapo

Herbalist Dr MziziMkavu

Platinum Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,086
Reaction score
34,883
Mkuu utafiti karibu tena hapo raha tupu.........

1966874_656662377724650_743909087_n.jpg


MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMA KARIBU AU USIKARIBIE KAZI KWAKO.....
 
Last edited by a moderator:
Hehehehe kaka hiyo kule tunaita VYOMBO, inaweza kutumika kama catalyst
 
Chakula ya Wajanja kama unabisha muulize Rich Mavoko
 
Ha ha ha ha mkuu MziziMkavu bora umetuwekea mkuyati maana weekend inakaribia!!! Tiba asili!!!
 
Cc farkhina!!Njoo na ubwabwa!

Hahahahahh na pilipili mbuzi na vimaji vibaridiiiii nimekula sana kipindi kilee hadi nlifkir mtoto atakuja na kijipande cha pweza mkononi lol

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahh na pilipili mbuzi na vimaji vibaridiiiii nimekula sana kipindi kilee hadi nlifkir mtoto atakuja na kijipande cha pweza mkononi lol

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

Kwa hivyo mjomba hana shida ya lishe kwani pweza anashusha lishe vizuri!
 
Loh! mtani hupendi pweza? unakosa raha, ukija ntwara ntakufundisha kuwala, yani mwenyewe utasahau wale kambale wa Rufiji.
dah nishajaribu kuwapenda lakini imeshindikana yaani nikiwaona tu roho yangu inachafuka huwa nawashngaa sana ndugu zangu wanaotoa hela zao na kuwanunua,ila najua akipendacho mtu chake,ila kwangu mimi kuja kuwapenda hawa labda sio katika dunia hii baadae sana.nikijitahidi sana nitakunywa supu yao ila sio wao kha!!!
 
Nenda pale meeda watakuwekea na chachandu ukiweka ndani ya mchuzi lazima utaongeza tena na kamwe hutolala bila kula hiyo dawa
 
dah nishajaribu kuwapenda lakini imeshindikana yaani nikiwaona tu roho yangu inachafuka huwa nawashngaa sana ndugu zangu wanaotoa hela zao na kuwanunua,ila najua akipendacho mtu chake,ila kwangu mimi kuja kuwapenda hawa labda sio katika dunia hii baadae sana.nikijitahidi sana nitakunywa supu yao ila sio wao kha!!!

Pole sana mtani, yani hizo picha zinanitoa mate hadi napiga mahesabu ya kwenda feri, manake wa huku mtaani naona ntakuwa sifaidi.
Sasa kule kwetu huyu anaungwa kwa nazi na kiungo cha embe halafu unamla na wali wa nazi.
 
Pole sana mtani, yani hizo picha zinanitoa mate hadi napiga mahesabu ya kwenda feri, manake wa huku mtaani naona ntakuwa sifaidi.
Sasa kule kwetu huyu anaungwa kwa nazi na kiungo cha embe halafu unamla na wali wa nazi.
DUH MIMI NDO NIKUPE POLE MTANI NAONA KAMA UNAJIDHULUMU NAFSI,YAANI VITU VYOTE VITAMU VILIVYOJAA TANZANIA HII IWEJE UHANGAIKE NA HAWA WADUDU HAWAELEWEKI WANA MIKIA MIGUU AU MIKONO??LOL!! WAPPO KAMA MPIRA NAHISI HAWATAFUNIKI(sory kwa mnaowapenda)
 
Back
Top Bottom